Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Utawala wa jiwe ulikuwa na shida nyingi sana
Yuko sahihi Kilicholeta shida hiyo ni kitengo cha Anti money laundering na TRA
Mfano wewe Dalali wa mteja anakuwekea Milioni 20 kwenye Akaunti umnunulie mzigo mfanyabiashara wa kongo au Zambia au Malawi au mtu wa mikoani TRA walikuwa wanatreat zote kama mauzo yako ndio maana Kariakoo images business.Walitreate ni income wakiona tu pesa zimeingia kwenye akaunti hiyo wanachululia income! Wakati ni pesa iko held on trust huanza chochote .Waligeuza Akaunti za kampuni kama income akaunti na income statement kwa kila kilichoingia
Au mteja anakuachia mazao umuuzie umpe chake huwezi kaa na mipesa yote nyumbani ukienda ku deposit bank maswali Mia moja unatoa wapi kelele kibao kuwa wewe mtakatisha pesa zinazulumiwa watu wakaacha ku deposit kwenye mabenki anti money laundering walihamia na mifumo yao counter za benki watu wakaona isiwe shida tutakaa na pesa zetu nyumbani yaani hata ku deposit tu shida taabu ya nini?
Mimi ni mmoja nilipiga kelele sana humu kuwa Kitengo cha Anti money laundering kitaua mabenki nobody cared.