Dkt Mwigulu Nchemba Atumia Usafiri Wa Treni ya Mwendokasi kutoka Dar hadi Dodoma

Wakati huo, LC300 plate number W FM limechoma mafuta Dar - Dom limpokee akishafika
 
Nayo ni habari, basi akienda kula, kwenye starehe na kwingineko toeni habari pia
 
Braza hii nayo ni habari?
 
Anastahili pongezi sana Mheshimiwa Waziri wetu.
Kupanda Treni unasifia? Kwa sababu ni waziri au ni uchawa tuu? huyo kakulia kwenye njaa hata baskeli alikuwa hana, leo waziri kesho utamkuta mtaani tuu , cheo dhamana tuu Acha kuabudu ujinga
 
Kupanda Treni unasifia? Kwa sababu ni waziri au ni uchawa tuu? huyo kakulia kwenye njaa hata baskeli alikuwa hana, leo waziri kesho utamkuta mtaani tuu , cheo dhamana tuu Acha kuabudu ujinga
Umeelewa hoja ya andiko langu? Umesoma nilichoandika? Au umekurupuka kujibu tu?
 
Umeelewa hoja ya andiko langu? Umesoma nilichoandika? Au umekurupuka kujibu tu?
Simamieni na kuendeleza huo mradi punguzeni mapicha picha+maneno mengi
Watanzania tunajulikana maana huchelewi kusikia mradi chaliii

Ova
 
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
We mjinga sana. Hata apande bajaji inatuhusu nini sisi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…