Dkt Mwigulu Nchemba Atumia Usafiri Wa Treni ya Mwendokasi kutoka Dar hadi Dodoma

Dkt Mwigulu Nchemba Atumia Usafiri Wa Treni ya Mwendokasi kutoka Dar hadi Dodoma

Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Ambaye ni waziri wetu wa Fedha ametumia usafiri wa Treni ya Mwendo kasi kutoka Dar kuelekea Dodoma.ambapo Mheshimiwa Waziri ameonekana akiwa amejaa Tabasamu na furaha kubwa sana katika uso wake akiwa ndani ya usafiri huo.

Ambao ni jitihada ,ndoto na kiu ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kuona anakamilisha ujenzi wa reli hiyo na kuanza kutumika kwa usafiri huo ambao utachochea biashara katika nchi zote za ukanda wa Maziwa Makuu.

Mheshimiwa Waziri ambaye anaongoza Wizara ambayo ndio kitovu na tegemeo la wizara zote kujiendesha , ameonekana kuwakosha watu wengi sana kwa uamuzi wake wa kutumia usafiri huo , ambao umepongezwa na kusifiwa na watu wengi sana walioonja na kuutumia kusafiri tangia kuzinduliwa kwake.

Kwa hakika Mheshimiwa Waziri au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita ,ameonyesha mfano mzuri wa kuigwa kwa viongozi mbalimbali na watumishi na watendaji mbalimbali wa serikali kuutumia usafiri huo badala ya kukimbizana na magari barabarani,ambapo unakuta wakati mwingine gari la kifahari lililojazwa full tank limebeba watu wawili tu yaani dereva na Bossi wake.

Kwa hiyo itakuwa vyema kama viongozi wengine wataamua kuutumia usafiri huo kwa safari zao za Dar kwenda Dodoma au Dodoma kwenda Dar.hii ni katika kubana matumizi ya pesa za serikali ambazo ni jasho la watanzania wanyonge wanaolipa kodi.

Kikubwa ni kuendelea kuboresha usafiri huu kila panapo onekana kuwa na dosari ,lakini pia kuhakikisha kuwa ratiba inazingatiwa na kufuatwa vyema.kusudi mtu awe na uhakika wa kusafiri kuliko mtu anakuwa na ratiba ya kusafiri siku fulani na muda fulani halafu anasikia ratiba imebadilika ghafla na hakuna usafiri wa treni kwa muda huo.

Kuhakikisha Huduma ziwe nzuri ndani ya treni,wafanyakazi wawe wakarimu,washeshi, wanyenyekevu,wavumilivu ,wenye lugha nzuri kwa wateja na wasikivu sana.hasa kwa kuzingatia kuwa abiria wanakuwa ni watu wenye tabia tofauti tofauti ambapo inahitaji wakati mwingine moyo wa uvumilivu na Upendo.

Wasimamizi wa mradi ni lazima wawe makini , wazalendo,wenye akili na mawazo ya kibiashara na wenye ubunifu na usimamizi mzuri ili mradi ujiendeshe kwa faida na siyo hasara. Kwa sababu haiwezekani unakuta watu binafsi wanaweza kuendesha kampuni yenye magari zaidi ya 20 bila hasara halafu unakuta watu wa serikali wanashindwa kuendesha na kusimamia mradi kama huu wa Treni ya Mwendo kasi .inakuwa inaumiza sana kusikia hasara za mashirika na taasisi za Umma kila mwaka kutoka katika ripoti ya CAG.
View attachment 3075853

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wakati huo wewe unabubujika kwenye makalio yako
 
Ndugu zangu Watanzania,



Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Ambaye ni waziri wetu wa Fedha ametumia usafiri wa Treni ya Mwendo kasi kutoka Dar kuelekea Dodoma.ambapo Mheshimiwa Waziri ameonekana akiwa amejaa Tabasamu na furaha kubwa sana katika uso wake akiwa ndani ya usafiri huo.



Ambao ni jitihada ,ndoto na kiu ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kuona anakamilisha ujenzi wa reli hiyo na kuanza kutumika kwa usafiri huo ambao utachochea biashara katika nchi zote za ukanda wa Maziwa Makuu.



Mheshimiwa Waziri ambaye anaongoza Wizara ambayo ndio kitovu na tegemeo la wizara zote kujiendesha , ameonekana kuwakosha watu wengi sana kwa uamuzi wake wa kutumia usafiri huo , ambao umepongezwa na kusifiwa na watu wengi sana walioonja na kuutumia kusafiri tangia kuzinduliwa kwake.



Kwa hakika Mheshimiwa Waziri au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita ,ameonyesha mfano mzuri wa kuigwa kwa viongozi mbalimbali na watumishi na watendaji mbalimbali wa serikali kuutumia usafiri huo badala ya kukimbizana na magari barabarani,ambapo unakuta wakati mwingine gari la kifahari lililojazwa full tank limebeba watu wawili tu yaani dereva na Bossi wake.



Kwa hiyo itakuwa vyema kama viongozi wengine wataamua kuutumia usafiri huo kwa safari zao za Dar kwenda Dodoma au Dodoma kwenda Dar.hii ni katika kubana matumizi ya pesa za serikali ambazo ni jasho la watanzania wanyonge wanaolipa kodi.



Kikubwa ni kuendelea kuboresha usafiri huu kila panapo onekana kuwa na dosari ,lakini pia kuhakikisha kuwa ratiba inazingatiwa na kufuatwa vyema.kusudi mtu awe na uhakika wa kusafiri kuliko mtu anakuwa na ratiba ya kusafiri siku fulani na muda fulani halafu anasikia ratiba imebadilika ghafla na hakuna usafiri wa treni kwa muda huo.



Kuhakikisha Huduma ziwe nzuri ndani ya treni,wafanyakazi wawe wakarimu,washeshi, wanyenyekevu,wavumilivu ,wenye lugha nzuri kwa wateja na wasikivu sana.hasa kwa kuzingatia kuwa abiria wanakuwa ni watu wenye tabia tofauti tofauti ambapo inahitaji wakati mwingine moyo wa uvumilivu na Upendo.



Wasimamizi wa mradi ni lazima wawe makini , wazalendo,wenye akili na mawazo ya kibiashara na wenye ubunifu na usimamizi mzuri ili mradi ujiendeshe kwa faida na siyo hasara. Kwa sababu haiwezekani unakuta watu binafsi wanaweza kuendesha kampuni yenye magari zaidi ya 20 bila hasara halafu unakuta watu wa serikali wanashindwa kuendesha na kusimamia mradi kama huu wa Treni ya Mwendo kasi .inakuwa inaumiza sana kusikia hasara za mashirika na taasisi za Umma kila mwaka kutoka katika ripoti ya CAG.







Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.



Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa tupu letu kwa muhula wa pili.

Huku V8 limeenda

Umeliona likichoma hayo mafuta au unajiongelea tu?
Unadahani anapanda Bodaboda za mama Samia akavunjwe miguu ? V8 Popote pale anapoenda ndani ya hii nchi lazima limfuate ndio usafiri wake rasmi na sio treni ya Mara moja kwa mwaka
 
20240915_050646.jpg
 
uzalendo kwa vitendo,
well done waziri comrade Dr Mwigulu 🐒
Ni vema amekumbuka kuwa karibu na mkusanyiko wa wananchi angalau kupitia mass transport vessel kama hii. Kukaa kwake Ofisini kulikuwa kumemuweka mbali na wananchi and it was working to his dissadvantage, compared to other Ministers who regularly are on missions to visit and launch projects where they kill two birds with one stone. Kukaa Ofisini kwa nature ya wizara yake kunamtenga zaidi na wananchi, na ilikuwa almost anasahau hata ku address mass gathering kwenye major events. Nilimuona last Month alipokuwa Geita akimuwakislha Deputy PM. Hakuwa Mwigulu tuliyekuwa tumemzoea akiwa ni good orator na well engager wa audience anapokuwa anahutubia. Kama bado ana mawazo ya kule mbeleni ni bora awe anatafuta namna ya kupata upenyo atoke nje ya Ofisi afanye ziara kama hii ya Mwanza ambayo ameianza. Bado muda upo.
 
Hilo siyo shida kwa Mheshimiwa mr clean maana anaweza kupanda usafiri wa aina yoyote ile ambao wanautumia watanzania wengine.
Kumbuka yeye alikuwa ni mtoto tu wa Mkulima na amepitia hali ya maisha ya wananchi wa familia za Kawaida. Anajua maisha ya wa Tanzania wa kawaida na ameyapitia unlike wale wengine waliobebwa na majina ya baba zao na God fathers.
 
Kumbuka yeye alikuwa ni mtoto tu wa Mkulima na amepitia hali ya maisha ya wananchi wa familia za Kawaida. Anajua maisha ya wa Tanzania wa kawaida na ameyapitia unlike wale wengine waliobebwa na majina ya baba zao na God fathers.
Kwa hakika Mr Clean Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amefika hapa kwa uwezo wake binafsi wa kiuongozi pamoja na Neema ya Mwenyezi Mungu.ameanzia maisha ya chini ambayo wanaishi watanzania wengi na ndio maana ni mtu mwenye moyo wa huruma na kusaidia watu mbalimbali wenye shida.ndio maana ni kawaida kuona Mr Clean akisaidia wanafunzi mbalimbali wasiojiweza mahitaji ya shuleni.
 
Kwa hakika Mr Clean Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amefika hapa kwa uwezo wake binafsi wa kiuongozi pamoja na Neema ya Mwenyezi Mungu.ameanzia maisha ya chini ambayo wanaishi watanzania wengi na ndio maana ni mtu mwenye moyo wa huruma na kusaidia watu mbalimbali wenye shida.ndio maana ni kawaida kuona Mr Clean akisaidia wanafunzi mbalimbali wasiojiweza mahitaji ya shuleni.
The guy is also smart upstairs . Nilisikia Hotuba ya Maono yake wakati wa mchujo wa ndani wa 2015, he had presented one of the strongest and most promising agendas in his election manifest, alongside that of Prof Muhongo. He had the vision.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Ambaye ni waziri wetu wa Fedha ametumia usafiri wa Treni ya Mwendo kasi kutoka Dar kuelekea Dodoma.ambapo Mheshimiwa Waziri ameonekana akiwa amejaa Tabasamu na furaha kubwa sana katika uso wake akiwa ndani ya usafiri huo.

Ambao ni jitihada ,ndoto na kiu ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kuona anakamilisha ujenzi wa reli hiyo na kuanza kutumika kwa usafiri huo ambao utachochea biashara katika nchi zote za ukanda wa Maziwa Makuu.

Mheshimiwa Waziri ambaye anaongoza Wizara ambayo ndio kitovu na tegemeo la wizara zote kujiendesha , ameonekana kuwakosha watu wengi sana kwa uamuzi wake wa kutumia usafiri huo , ambao umepongezwa na kusifiwa na watu wengi sana walioonja na kuutumia kusafiri tangia kuzinduliwa kwake.

Kwa hakika Mheshimiwa Waziri au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita ,ameonyesha mfano mzuri wa kuigwa kwa viongozi mbalimbali na watumishi na watendaji mbalimbali wa serikali kuutumia usafiri huo badala ya kukimbizana na magari barabarani,ambapo unakuta wakati mwingine gari la kifahari lililojazwa full tank limebeba watu wawili tu yaani dereva na Bossi wake.

Kwa hiyo itakuwa vyema kama viongozi wengine wataamua kuutumia usafiri huo kwa safari zao za Dar kwenda Dodoma au Dodoma kwenda Dar.hii ni katika kubana matumizi ya pesa za serikali ambazo ni jasho la watanzania wanyonge wanaolipa kodi.

Kikubwa ni kuendelea kuboresha usafiri huu kila panapo onekana kuwa na dosari ,lakini pia kuhakikisha kuwa ratiba inazingatiwa na kufuatwa vyema.kusudi mtu awe na uhakika wa kusafiri kuliko mtu anakuwa na ratiba ya kusafiri siku fulani na muda fulani halafu anasikia ratiba imebadilika ghafla na hakuna usafiri wa treni kwa muda huo.

Kuhakikisha Huduma ziwe nzuri ndani ya treni,wafanyakazi wawe wakarimu,washeshi, wanyenyekevu,wavumilivu ,wenye lugha nzuri kwa wateja na wasikivu sana.hasa kwa kuzingatia kuwa abiria wanakuwa ni watu wenye tabia tofauti tofauti ambapo inahitaji wakati mwingine moyo wa uvumilivu na Upendo.

Wasimamizi wa mradi ni lazima wawe makini , wazalendo,wenye akili na mawazo ya kibiashara na wenye ubunifu na usimamizi mzuri ili mradi ujiendeshe kwa faida na siyo hasara. Kwa sababu haiwezekani unakuta watu binafsi wanaweza kuendesha kampuni yenye magari zaidi ya 20 bila hasara halafu unakuta watu wa serikali wanashindwa kuendesha na kusimamia mradi kama huu wa Treni ya Mwendo kasi .inakuwa inaumiza sana kusikia hasara za mashirika na taasisi za Umma kila mwaka kutoka katika ripoti ya CAG.
View attachment 3075853

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amelipa nauli ama amedandia lifti
 
The guy is also smart upstairs . Nilisikia Hotuba ya Maono yake wakati wa mchujo wa ndani wa 2015, he had presented one of the strongest and most promising agendas in his election manifest, alongside that of Prof Muhongo. He had the vision.
Ilikuwa Bonge Moja ya Hotuba maana nilimsikilizaga vizuri sana siku ile .Mimi namuunga mkono na naomba Mheshimiwa Rais aendelee kumuamini kuendelea kuwepo katika Baraza la mawaziri,maana naamini atamsaidia sana Mheshimiwa Rais.
 
Back
Top Bottom