Dkt Mwigulu Nchemba Atumia Usafiri Wa Treni ya Mwendokasi kutoka Dar hadi Dodoma

How
How did you get to be this dumb? In a civilised world, a minister taking public transport is not something to be shocked about. Many leaders today do not really care whether they are leaders as long as they fulfil their purpose.
 
Ilikuwa Bonge Moja ya Hotuba maana nilimsikilizaga vizuri sana siku ile .Mimi namuunga mkono na naomba Mheshimiwa Rais aendelee kumuamini kuendelea kuwepo katika Baraza la mawaziri,maana naamini atamsaidia sana Mheshimiwa Rais.
Jamaa anajitahidi kwa kuendesha ile Wizara ambayo ni ngumu kiukweli kuliko Wizara nyingine zote, na inalawama nyingi maana unapaswa ukusanye na utoe mgao ambavyo ni kazi ngumu kwa chumi ndogo kama za nchi zetu. Ama kweli Mzigo Mzito Mbebeshe Mnyamwezi ( Mnyiramba).
 
Kuhusu Treni, chawa acheni kufifisha mbeba maono JPM. Yaani mna jitahidi sana kufuta jina hili kwenye kumbukumbu. Mama mama mama kitu gani.
 
Ndio maana Mheshimiwa Rais anaendelea kumuamini Mr Clean Daktari Mwigulu Lameck Nchemba kuendelea kuongoza Wizara hiyo nyeti.
 
Kuhusu Treni, chawa acheni kufifisha mbeba maono JPM. Yaani mna jitahidi sana kufuta jina hili kwenye kumbukumbu. Mama mama mama kitu gani.
Katika hili uko sahihi, huu mradi pamoja na miradi yote mikubwa ya kimkakati ilikuwa ni maono na uthubutu wa Jiwe ( RIP), hili halina ubishi na litabakia kuwa hivyo katika Historia. Kumbuka Historia haifutiki hata kama kuna namna inataka kufutwa ,Jamaa pamoja na mapungufu yake katika kuimarisha Demokrasia, kwnigine kote hasa katika kuitakia maendelea nchi yetu alikuwa Kiongozi kwa vitendo, na Mzalendo wa kweli. Mengine mapungufu yaliyokuwepo tumsamehe kama binadamu.
 
Legacy huwezi kuifuta. Naamni juko mbeleni kuna wazalendo watweka kumbukumbu vuzuri na kuzitunza kwa vizaji vijavyo wajue mchango wake katika Taifa hili kama Viongozi wengine wakuu waliopita katika Bara la Africa of his Calibre.
 
Mbona bibi tako anasafirigi na fisi kutoka mbeya mpaka dar na huleti ushuhuda humu
 
Ni jambo la ajabu Waziri kupanda Train?
Ni watu wa aina gani wanaostahili kupanda train na wa aina gani wasiostahili kupanda train?
Inaonyesha namna ulivyo muumini wa social discrimination...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…