Pre GE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba: Ni ushamba kugombana kisa uchaguzi, tuendelee kumuombea Rais Samia

Pre GE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba: Ni ushamba kugombana kisa uchaguzi, tuendelee kumuombea Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndio zake akishaona mkeka unakarabia utamuona huyo kwenye media kujipendekeza.

Kabla ya mkeka uliowatoa matapeli wenzake Makamba na Napę; alikuja umu JF na kuanzisha mi mada yake ya kujipendekeza.

Safari hii achomoki inaonekana, amekalia kuti kavi kwa muda mrefu; na muda umefika.

Ni mtu useless anyway
 
Aaache kujitia ujuaji.S Africa hapo wamegombana kuhusu chaguzi hadi kufukuzana uanachama.Aende Kenya aone.USA mtu kakoswakoswa risasi ni kwa sababu ya uchaguzi/siasa.Anawapumbaza wajinga ili CCM wajiandae kuiba chaguzi zijazo na wanyamaziwe.Tunaijua hiyo.
 
Ndio zake akishaona mkeka unakarabia utamuona huyo kwenye media kujipendekeza.

Kabla ya mkeka uliowatoa matapeli wenzake Makamba na Napę; alikuja umu JF na kuanzisha mi mada yake ya kujipendekeza.

Safari hii achomoki inaonekana, amekalia kuti kavi kwa muda mrefu; na muda umefika.

Ni mtu useless anyway
Acha Ramli wewe.
 
Aaache kujitia ujuaji.S Africa hapo wamegombana kuhusu chaguzi hadi kufukuzana uanachama.Aende Kenya aone.USA mtu kakoswakoswa risasi ni kwa sababu ya uchaguzi/siasa.Anawapumbaza wajinga ili CCM wajiandae kuiba chaguzi zijazo na wanyamaziwe.Tunaijua hiyo.
Kwa hiyo unataka siasa za risasi? Hivi una akili kweli ndugu yangu?
 
Ubongo sio kama tumbo likiwa na njaa linakushtua kuwa ni tupu.

Ubaya wa kichwa kikiwa kitupu hakuna kushtuliwa , wanaobaki kusikitika ni waliokuzunguka ila wewe hata hujijui ni tupu kichwani.
 
View attachment 3066963
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu amewaasa wananchi kuacha kugombana kwa sababu za siasa kwani kitendo hicho kinasababisha maafa, yatima, wajane na kukosekana kwa amani.

Dkt. Nchemba ameyasema hayo kwenye kilele cha Makambi alipokuwa akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista (Wasababato) Mjini Katoro, Mkoani Geita.

Dkt. Nchemba amewaasa waumini hao kuepuka kujihusisha na siasa za fujo na vurugu kwa sababu zinaleta madhara makubwa kwa familia moja moja na nchi kwa ujumla hivyo kuathiri uchumi, umoja na mshikamano wa taifa.

Aidha, Dkt. Nchemba amewataka waumini hao kuendelea kumwombea Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ili aendeleze kudumisha maelewano, mshikamano na kusikilizana ambazo ndio zimekuwa falsafa zake tangu aingie madarakani

===

Ndugu zangu Watanzania,

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nakubali Dedication yako CDE.
BIG Up SANAA'
 
Jumapili ya leo atulie nyumbani mikeka ya ‘bi-tozo’ inatabia yakutoka usiku, asije achwa na dereva akienda kudhurura habari zikamkuta kwenye hafla.
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi
 
Back
Top Bottom