imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ninyi mnaoteka na kuua nani anafanya UHALIFU?!🤮Wapinzania ndio huwa wanapenda sana mavurugu na lugha za uchochezi hasa baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninyi mnaoteka na kuua nani anafanya UHALIFU?!🤮Wapinzania ndio huwa wanapenda sana mavurugu na lugha za uchochezi hasa baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura.
Tumemteka nani? Acheni kutafuta umaarufu kwa Masuala ya kijinga na kutengeneza.Ninyi mnaoteka na kuua nani anafanya UHALIFU?!🤮
Usinitafutie Ban nasema tena usinitafutie BAN!!!🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬Tumemteka nani? Acheni kutafuta umaarufu kwa Masuala ya kijinga na kutengeneza.
Acheni kutengeneza matukio kutafuta umaarufu.mnajificha mafichoni halafu mnaanza kuzusha ujinga wenu hapa.Usinitafutie Ban nasema tena usinitafutie BAN!!!🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬
Pokea tu Bahasha zako ila mambo yakigeuka usijekuikimbia Id weka akiba ya maneno.Acheni kutengeneza matukio kutafuta umaarufu.mnajificha mafichoni halafu mnaanza kuzusha ujinga wenu hapa.
Hiivi yule aliyebandika majina yake kwenye madaraja na miti akiomba kuchaguliwa urais ni nani, si ndiyo ushamba huyo?View attachment 3066963
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu amewaasa wananchi kuacha kugombana kwa sababu za siasa kwani kitendo hicho kinasababisha maafa, yatima, wajane na kukosekana kwa amani.
Dkt. Nchemba ameyasema hayo kwenye kilele cha Makambi alipokuwa akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista (Wasababato) Mjini Katoro, Mkoani Geita.
Dkt. Nchemba amewaasa waumini hao kuepuka kujihusisha na siasa za fujo na vurugu kwa sababu zinaleta madhara makubwa kwa familia moja moja na nchi kwa ujumla hivyo kuathiri uchumi, umoja na mshikamano wa taifa.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka waumini hao kuendelea kumwombea Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ili aendeleze kudumisha maelewano, mshikamano na kusikilizana ambazo ndio zimekuwa falsafa zake tangu aingie madarakani
===
Ndugu zangu Watanzania,
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acheni mara moja kujiteka. Hilo ni onyo.Pokea tu Bahasha zako ila mambo yakigeuka usijekuikimbia Id weka akiba ya maneno.
Mwakani ni kutimiza wajibu tu .maana hakuna wa kushindana na Rais Samia Suluhu Hasssan katika sanduku la kura.itafahamika tu chawa sugu
2025 inajongea, mnatamani kuipeleka mbele ila ndio hivyo tena
usiku wa denu hauchelewi kukuchwa