Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Acha Ramli wewe.Ndio zake akishaona mkeka unakarabia utamuona huyo kwenye media kujipendekeza.
Kabla ya mkeka uliowatoa matapeli wenzake Makamba na Napę; alikuja umu JF na kuanzisha mi mada yake ya kujipendekeza.
Safari hii achomoki inaonekana, amekalia kuti kavi kwa muda mrefu; na muda umefika.
Ni mtu useless anyway
Kwa hiyo unataka siasa za risasi? Hivi una akili kweli ndugu yangu?Aaache kujitia ujuaji.S Africa hapo wamegombana kuhusu chaguzi hadi kufukuzana uanachama.Aende Kenya aone.USA mtu kakoswakoswa risasi ni kwa sababu ya uchaguzi/siasa.Anawapumbaza wajinga ili CCM wajiandae kuiba chaguzi zijazo na wanyamaziwe.Tunaijua hiyo.
Wizi wa kura hautakiwi.Asianze kuomba tendered hearts kwa wapiga kura huku kaficha panga kwenye bukta.Bila wananchi kuwa wakali,demokrasia na chaguzi zitabakwa kila misimu ikifika.Say no to blah blahs!Kwa hiyo unataka siasa za risasi? Hivi una akili kweli ndugu yangu?
Kuanzia kuwashuhudia uongo watu kesi za uhaini,ugaidi na mabaya yake yote atubu.Good liar!Maombi hutanguliwa na TOBA,
Ametubu lini Ili aombewe?
Tumeambiwa tusubiri mkeka na britanicca yule jamaa uwa abahatishi.Acha Ramli wewe.
Ndiyo ajabu yake.Huyu si ndiye alipayuka kwamba Abdul Nondo alijiteka?🤔Yaani kanajisahahu sana hako kajamaa... Yeye mbona kipindi anajiita Savimbi alikuwa anawadhuru watu?
Mwamba akikosaga uwaziri na timu nazo zinayumba!Tumeambiwa tusubiri mkeka na britanicca yule jamaa uwa abahatishi.
Muda wake kama favourite chawa wa ‘bi-tozo’ aende kuendesha biashara zake sasa na hiyo team yake ya mpira.
Kwani umeona popote katiba ikiruhusu siasa za vurugu?Tuheshimu Katiba tuache uchawa,
Jamaa yako anajua fika utulivu wa wananchi ni fursa ya wao kula na kuvimbiwa!Hivi umeelewa hoja ya Mheshimiwa Waziri? Hoja ni kuwa Wananchi tuepuke na kujiepusha na siasa za vurugu zinazoweza chochea na kusababisha vifo.
Ni kweli alijiteka. Kwani hukuona kuwa amekwenda zake huko Iringa kutalii.Ndiyo ajabu yake.Huyu si ndiye alipayuka kwamba Abdul Nondo alijiteka?🤔
Nakubali Dedication yako CDE.View attachment 3066963
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu amewaasa wananchi kuacha kugombana kwa sababu za siasa kwani kitendo hicho kinasababisha maafa, yatima, wajane na kukosekana kwa amani.
Dkt. Nchemba ameyasema hayo kwenye kilele cha Makambi alipokuwa akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista (Wasababato) Mjini Katoro, Mkoani Geita.
Dkt. Nchemba amewaasa waumini hao kuepuka kujihusisha na siasa za fujo na vurugu kwa sababu zinaleta madhara makubwa kwa familia moja moja na nchi kwa ujumla hivyo kuathiri uchumi, umoja na mshikamano wa taifa.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka waumini hao kuendelea kumwombea Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ili aendeleze kudumisha maelewano, mshikamano na kusikilizana ambazo ndio zimekuwa falsafa zake tangu aingie madarakani
===
Ndugu zangu Watanzania,
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na wewe tangulia Katavi ukiwa umejifunga kamba na kushiba komoni.Mbona Inawezekana!Ni kweli alijiteka. Kwani hukuona kuwa amekwenda zake huko Iringa kutalii.
Jumapili ya leo atulie nyumbani mikeka ya ‘bi-tozo’ inatabia yakutoka usiku, asije achwa na dereva akienda kudhurura habari zikamkuta kwenye hafla.Mwamba akikosaga uwaziri na timu nazo zinayumba!
Atubu kwa makosa yapi aliyoyatenda?Maombi hutanguliwa na TOBA,
Ametubu lini Ili aombewe?
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenziJumapili ya leo atulie nyumbani mikeka ya ‘bi-tozo’ inatabia yakutoka usiku, asije achwa na dereva akienda kudhurura habari zikamkuta kwenye hafla.