Pre GE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba: Ni ushamba kugombana kisa uchaguzi, tuendelee kumuombea Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiivi yule aliyebandika majina yake kwenye madaraja na miti akiomba kuchaguliwa urais ni nani, si ndiyo ushamba huyo?
 
itafahamika tu chawa sugu
2025 inajongea, mnatamani kuipeleka mbele ila ndio hivyo tena
usiku wa denu hauchelewi kukuchwa
 
itafahamika tu chawa sugu
2025 inajongea, mnatamani kuipeleka mbele ila ndio hivyo tena
usiku wa denu hauchelewi kukuchwa
Mwakani ni kutimiza wajibu tu .maana hakuna wa kushindana na Rais Samia Suluhu Hasssan katika sanduku la kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…