pole kwa familia.au ndo hiz chanjo wanazokimbilia!!hiz chanjo badala ya kuleta faraja,Sasa zimegeuka msiba.
Oh jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Habari mbaya ya kusikitisha ni kuwa Dkt. Peter Mamiro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro ikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe, Profesa Delphina Mamiro afariki dunia. Dkt. Peter Mamiro na Profesa Delphina Mamiro walikuwa wanafundisha Chuo cha Kilimo Sokoine - SUA.
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema kwamba siku chache zilizopita, Dkt. Peter na Profesa Delphina walitoka Kilimanjaro kuwazika wazazi wawili (Mchungaji Kessy na mkewe) wa Profesa Delphina ambao nao vifo vyao vilifuatana.
Inadaiwa baada ya kurudi Morogoro hali ikuwa mbaya mpaka umauti unawakuta.
Mwenyezi Mungu aipe nguvu na faraja familia hii inayopitia majaribu haya yote.
Pia soma TANZIA - Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA) afariki dunia
Covid is real killing us very awkwardly
Ndiyoooo, aseee, kwani umewahi kusikia yule mzee nundu akisema mdudu yupo? Kwann afiche? Na hilo huoni kama n tatzo? Kwann haweki mipango madhubut ya kudhibit mdudu? Unasema barakora is special for preventing tuberculosis transmission, real??? Pumbavu kabisaSASA MNATAKA NINI KIFANYIKE?? TUSIBAKI TUNA TOA LAWAMA ZISIZO KUWA NA MASHIKO. KILA MARA TUMESHATAHADHALISHWA TUCHUKUE TAHADHARI KWA MAAMBUKIZI KWA KUWA TZ SIYO KISIWA. AU UNATAKA SERIKALI ISEME KUANZIA LEO KILA RAIA ABAKI KWAKE TUTAWALETEA MKATE WA KILA SIKU KWENYE MLANGO?? SEMA UNA TAKA NINI KIFANYIKE??? NYUMBU WEWE.
Jibu swali, akishasema yupo, ndio anaondoka?Jnajifanya zuzu eee! Kabla cjakujib nikuulize swali, wewe ndo yule ulikuwa unaunga mkono baba yako akisema mdudu hayupo? Vip saiz unaamini mdudu yupo au hayupo?
Mimi ndio Millard Ayo? Mimi ndio DW?Tatizo humu hatujuani. Nilitaka nikutukane bonge la tusi lakini nikaogopa isije ikawa namtukana jiwe nikajikuta natafutwa kwa gharama yoyote. Ila mkuu sio poa, unataka kutuambia chanzo ya covid 19 inaua?
Nimeleta habari kama ilivyo, sijasema chochote mimiHii hata kama ni kweli siyo habari ya maana. Vaccines zote zinaweza sababisha reaction mbaya na hata kifo. Kuna watu wakitumia dawa jamii ya penicillin wanaweza kufa lakini Haimaanishi hizo dawa ni mbaya.
Kwani mimi si nimeweka tu hizo taarifa, nimesema chochote kwani?Samahani
Wewe ni mtetezi wa UJINGA.
Chanjo mtu anapata na kumsaidia kabla hajaugua , siyo umeshalemewa na virusi , lazima ufe
Yy mwenyewe husikika akisema "msema kweli n mpnz wa Mungu"Jibu swali, akishasema
Mimi si nimewasilisha taarifa kama ilivyo, nimesema chochote kwani?Kwavile wamekufa wawili watatu ambapo pia ni kutokana na reasons kibaooo
Hii ifanye watu wasipate chanjo?
Hakuna chanjo ni 100%....inaweza kua hata 90%
Yaani watu 100 wakichanjwa basi 90 watapona na wengine 10 they will die....eti kwavile 10 wanakufa basi tusichukue chanjo wote
Hii ndio stupid thinking ya mataga na liserikali lao
Akisema inaondoka? Na madhara gani yanaweza yakatokea endapo akisema?Yy mwenyewe husikika akisema "msema kweli n mpnz wa Mungu"
Najua bado hujui faida ya ukweli. Subiri ntakufundisha kwa 50,000/= per day. Mana naona huu usumbufu sasa
Kichwa cha mwendawwzimu hata ukikielimisha bado hakitaelewa. Ipo ck utakuja kunielewa mkuu, tusiwe na haraka nchi hii tupo wala hatuhamiAkisema inaondoka? Na madhara gani yanaweza yakatokea endapo akisema?
Ha ha ha lupweko
Na hizi mvua zinazoendelea kunyeesha katika maeneo mbalimbali ya dar na maeneo mikoa mingine hapa nchini tutarajie vifo vingi mno vya COVID-19.Huu mwaka nao sio nimeshaustukia wallah
Full kuchinja[emoji15][emoji21][emoji26]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app