Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Kaongea vizuri sana
 
Bado hajapona,sema ICU wanaamini siku 21 mtu tokea awe positive,hawezi ambukiza tena. Hiyo ni theory tu. Hao Ma Dr wanajiaona vijana hata wakipata hawatakuwa na hatari ya kuzidiwa. Sema wanasahau wanaweza ambukiza baba zao,mama zao. Too sad.
 
Bado hajapona,sema ICU wanaamini siku 21 mtu tokea awe positive,hawezi ambukiza tena. Hiyo ni theory tu. Hao Ma Dr wanajiaona vijana hata wakipata hawatakuwa na hatari ya kuzidiwa. Sema wanasahau wanaweza ambukiza baba zao,mama zao. Too sad.
hapo ndio tunaanza kuishutumu serikali,wangeanza kuelimisha watu mapema ujinga kama huu usingekuwepo,hao wanaenda kuambukiza watu wengine familia zao na wagonjwa wa hapo hosptali
 
mimi pia nilifikiria sana hilo jambo ila nkaona sielewi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…