jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Watu kama hawa wantupa ujasir kwamba kesho ni yetu sote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naendelea na mfungo ukiona nimeingia ujue kuna issue critical inayohitaji my attention
haukuwepoKulikuwa na ulazima wa yeye kuzungumza mbele ya umma?
Mbona Maalim seif alipoongea hukutokwa povuKulikuwa na ulazima wa yeye kuzungumza mbele ya umma?
Hujui ana corona huyo anatakiwa avae barakoa ili asiambukize wengine?Nani alievaa barakoa akapona korona?
Yule wa Sheria si mtu mzuriKuna waziri mmoja anaunyemelea uwaziri wa fedha, nadhani ndio alikuwa anampa angalizo kwamba yuko fit!
[emoji23][emoji23][emoji23] Ile ya chadema inatamani watu wafeMisukule ya lumumba imefurahi saana
Nani alivaa barakoa akapona corona?Kumbe wenye akili ya nguruwe ni wengi! Hujui ana corona huyo anatakiwa avae barakoa ili asiambukize wengine?
Wewe!Nani alivaa barakoa akapona corona?
Kaongea vizuri sanaWaziri wa fedha na mipango Dkt. Philp Mpango amesema anarudi kuchapa kazi baada ya mkono wa Mungu kumvusha na ugonjwa uliomkumba mpaka akalazwa.
Waziri Mpango amesema haya (Nukuu) - Narudi kazini na kazi ndogondogo nimekwishaanza za kulitumikia Taifa. Watanzania tuendelee kumwomba Mungu kwa kila mmoja na imani yake na atatuvusha. Amenivusha mimi na wengine ninaowaacha hapa atawavusha.
Nilikuwa nafungua mitandao, ni mambo ya ajabu sana. Nimeonja upendo mkubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na wananchi wenzangu wa Buhigwe, wawe na amani na muda si mrefu nitakwenda kuwatembelea
Madaktari, manesi, wataalamu wa viungo, mpaka wahudumu nawashukuru sana kwa huduma nzuri mlizonipa katika kipindi chote. Ni vijana lakini wanafanya kazi kubwa sana"
Natoa pole sana kwa familia zilizopoteza wapendwa kwa wiki mbili nilizokuwa hapa na nyumbani. Ningeshiriki msiba wa Maalim Seif, Balozi John Kijazi na jana nimempoteza mwalimu wangu wa pekee, Profesa Benno Ndulu na mdogo wangu Atashasta Nditiye"
Kulikuwa na vishawishi, hamia Dar es Salaam, hamia huku nikasema hapana, hospitali ni nzuri kabisa na wataalamu walioiva. Sababu ya kukimbilia Ulaya, haipo. Tuboreshe vya kwetu na kwa nafasi aliyonipa Rais, nitamshauri kuboresha zaidi
Ikumbukwe watu wasio wema walizua taarifa za uongo kuwa amefariki baada ya kulazwa. Na tarifa hizo za uongo zilidai amefariki kwa ugonjwa wa Covid 19.
Dkt. Mpango alituma sms kwa mkuu wa nchi yetu kuwa amewasamehe waliomzushia uongo kuwa amekufa.Sasa wakimuona sijui watajisikia vipi. Aibu kubwa kwa wanafiki. Zaidi soma Dkt. Philip Mpango: Mimi ni mzima, walionizushia kifo nimewasamehe
Wana uhakika ameponajambo linashangaza sana sana yaani Dr Mpango anaongea na media kuna watu wamekaa karibu nae hamna mask,kwa kweli jamani mwafrika ni mwafrika tu
Tutawandikia rip usijali mkuujambo linashangaza sana sana yaani Dr Mpango anaongea na media kuna watu wamekaa karibu nae hamna mask,kwa kweli jamani mwafrika ni mwafrika tu
hapo ndio tunaanza kuishutumu serikali,wangeanza kuelimisha watu mapema ujinga kama huu usingekuwepo,hao wanaenda kuambukiza watu wengine familia zao na wagonjwa wa hapo hosptaliBado hajapona,sema ICU wanaamini siku 21 mtu tokea awe positive,hawezi ambukiza tena. Hiyo ni theory tu. Hao Ma Dr wanajiaona vijana hata wakipata hawatakuwa na hatari ya kuzidiwa. Sema wanasahau wanaweza ambukiza baba zao,mama zao. Too sad.