Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Sio roho ngumu mkuu, ukweli MCHUNGU lakini ndio hivyo.. Mapafu yamechakazwa na Coona, hamna mtu humo, ni maiti hiyo mjianandae wapendwa wake.Duuh mkuu una roho ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio roho ngumu mkuu, ukweli MCHUNGU lakini ndio hivyo.. Mapafu yamechakazwa na Coona, hamna mtu humo, ni maiti hiyo mjianandae wapendwa wake.Duuh mkuu una roho ngumu sana
Usisahau professionals hao hao ndio waliogundua Covidor, nyungu na ndio zinazotumiwa sasa hivi kila hospital. Ndio wanaoshauri Physiotherapy ambayo unaweza kuifanyia nyumbani na ni ukweli kwamba Hakuna TIBA rasmi ya COVID19 duniani kwa sasa.Amezungumza na waandishi wa habari akiwa hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma leo tarehe 23 Febr 2021, live kupitia TBC.
Amesema alikuja hapo hospitalini akiwa na mtungi wa Oxygen. Amekuwapo kwa zaidi ya wiki mbili. Na leo ni siku ya 3 hajagusa mtungi wa Oxygen, anapumua mwenyewe.
Tunafurahi sana kuona amepona.
Binafsi nafurahi zaidi kwa ushuhuda wake wa kwamba amepona kwa tiba rasmi za hospitali, na si kwa mambo ya kujifukiza na kupiga nyungu. Huu ni ushuhuda kwamba hizi ndizo huduma tunazopaswa kuzieneza kwa wote na kuhimiza wananchi wazitumie, na siyo kutupoteza kwa mambo ya nyungu.
Amesifu excellent professionalism ya madaktari wetu. Naomba ujumbe huu uwafikie wale wanasiasa wote wanaobeza madaktari wetu na kuwadhalilisha, na ujumbe uwafikie pia wale wanaohimiza uganga wa jadi. Mheshimiwa amekiri kuwa hii sekta inastahili kupewa kipaumbele zaidi.
Nani alievaa barakoa akapona korona?Mwambie barakoa ni muhimu asije akatuletea balaa jingine!
Hawa watu wakuokotwa majalalani ni hamnazo. Sioni mahali popote anapona huyu sioni. Maandalizi yafanyike.Mwache ajisahau impitie mazima ile sii kwamba ukishaugua ukapona eti ndio haikupati tena.
Wee tamba tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakutuma ukienda bungeni uwe mpigaji wa kerere kuongezwa kwa bajeti ya wizara ya afyaAmezungumza na waandishi wa habari akiwa hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma leo tarehe 23 Febr 2021, live kupitia TBC...
Great Thinking, Hafahamu tungo za rohoni.Alitakiwa aangalie hili suala kutokea angle hiyo lakini anaogopa kutumbuliwa kuliko kifo.Ajabu&Aibu kwa wasomi wetu.Ningekuwa mimi nisingeishia kufurahia kuvushwa pekee bali ningejiongeza na kujitafakari kwa upya ni kwa nini haswa watu walikuwa wafurahie kuugua kwangu na baadhi actually hata kutaka nife kabisa?
Anaumwa badoHawa watu wakuokotwa majalalani ni hamnazo. Sioni mahali popote anapona huyu sioni. Maandalizi yafanyike.
Mungu wa mbinguni ambariki!
Asisahau kwenda Kanisani kutoa fungu la kumi.
ukiumwa usiiingie mitandao ya kijamii kuna mapepo kazi yao kukuombea kifo.
Naendelea na mfungo ukiona nimeingia ujue kuna issue critical inayohitaji my attentionVipi umeshamaliza huo mfungo wako feki? Maana ulishaaga humu!!!