Roy Logan
JF-Expert Member
- Jan 22, 2021
- 790
- 3,190
Jambo la kheri ni kwamba anapata nafuu, nafurahi kuona na kusikia hivyo japo ningefurahi zaidi kama angetahadharisha kuhusu COVID ili wengine nao wachukue tahadhari, angalau ushuhuda wake ingesaidia wengi.
Suala ninaloliona hapa ni kwamba ukimsikiliza sana Dr. Mpango ni kama anasisitiza zaidi tiba ya (Kisayansi) hospitalini japo anagusia gusia mambo ya vyungu, all in all ndugu zangu, tuchukue tahadhari, hatujui mpango kaawacha wangapi bado wapo kwenye mitungi hapo hospitalini, tuwaombee wapone maisha yaendelee.
Suala ninaloliona hapa ni kwamba ukimsikiliza sana Dr. Mpango ni kama anasisitiza zaidi tiba ya (Kisayansi) hospitalini japo anagusia gusia mambo ya vyungu, all in all ndugu zangu, tuchukue tahadhari, hatujui mpango kaawacha wangapi bado wapo kwenye mitungi hapo hospitalini, tuwaombee wapone maisha yaendelee.