Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Karudie ulichokisema mwanzo alafu uje tena..Ni Dr.Mpango mwenyewe ndio amesema alikuwa akitumia mtungi wa gesi kwa wiki mbili kabla hajahamishiwa hospitali. Sasa chuki inatoka wapi hapo? Kuna ubaya gani kila kaya kupewa mtungi wa oksijen?