Tanzania Ya ViwandaKumbe mhaini ruksa kupewa dhamana!!
Mkataba nao usitisweπ€£π€£π€£πͺWatatema kila kitu mwaka huu
A
Nchi ngumu sana hiiUhaini wa kibongo changamoto sana
Atakuwa amefuraSijui Nape Nnauye anajisikiaje na ule mdomo wake πππππ€£π€£
Kaa siku akienda utajiua?? Rais Dkt Samia ni rais wa wote! Ni msikivu, mpole na mpenda haki. Kaagiza Dkt Slaa aachiliwe mara moja hahaha IGP na bog bosi tishi kwisha habari yao ya kubambika kesiSamia ana kazi nyingi za kupigania maendeleo ya watanzania hawezi kwenda kusalimia hiki kibabu kipotoshaji never ever.
Nape yupo kundi la kumharibia Mama Dkt Samia, ni kama alivyofanya kwa Dkt Magufuli na Membe, yaani baada kifo cha Dkt Magufuli akajodhihirisha jinsi alivyokuwa anamfitini. Rais Dkt Samia awe makiniSijui Nape Nnauye anajisikiaje na ule mdomo wake πππππ€£π€£
Lucas mwashambwa jibu hoja.Kibaya zaid uvccm humu kama.. Lucas mwashamba and the likes hawakuelewa main issue na hawatoelewa!! Wao ni kushangilia kila kitu π€£π€£π€£π€£
Tayari wameloaMkataba nao usitisweπ€£π€£π€£πͺ
Wewe ni zaidi ya zumbukuku wa siasa yaani unataka kusema IGP aliamua kumkamata Dr slaa bila rais kujua ambaye ni amiri jeshi mkuu wa ulinzi na usalama wa nchi?Kaa siku akienda utajiua?? Rais Dkt Samia ni rais wa wote! Ni msikivu, mpole na mpenda haki. Kaagiza Dkt Slaa aachiliwe mara moja hahaha IGP na bog bosi tishi kwisha habari yao ya kubambika kesi
Ndiyo tabia zao hasa wanapotaka kugombanisha. Wao lengo lao ni kumchafua Dkt Samia kwa sababu wanaona anapendwa mno na wananchi hivyo wanatafuta sababu ili awe na rekodi ya kuonea watu wakati yeye alishasema anapenda haki.Wewe ni zaidi ya zumbukuku wa siasa yaani unataka kusema IGP aliamua kumkamata Dr slaa bila rais kujua ambaye ni amiri jeshi mkuu wa ulinzi na usalama wa nchi?
Eti wanamsubiria kwa hamu kwenye SPACEπ kwamba ateme cheche bado zikiwa za moto moto kutoka rumande.Wanamsubiri kwa hamu kule kwa space ya Maria Sarungi ambako ndiko alizoa hiyo kesi ya uhaini.
Huyu bibi FaizaFoxy leo atapata presha.Faiza bebi kwa wito wenu huku