UONGOMfalme Nebkadneza aliambiwa na Danieli aache matendo yake dhidi ya Wana wa Israeli la sivyo Atabadilika kuwa Hayawani.
Nebkadneza alikuwa na jeshi zuri lenye nguvu likiongozwa na Jemedali Mwanaye anaitwa Neboporasa.
Baadae pamoja na jopo lake la waganga, wasihiri na wenye hekima ufalme ukaanguka, mfalme akajikuta yuko nyikani anakula nyasi kama wanyama wa mwituni.
Hapa ardhi ya Nyerere kuna mtu aliambiwa atubu akawa amedharau pia.
Kwa upumbavu na ujinga wako wewe unaamini kifo ni adhabu au ni hukumu ya watu waovu.una fikra mbirikimo na akili zenye matege.Wakati wa Mwendazake, watu walipiga kelele Mungu akajibu kwa namna yake. Umepewa nafasi na Mungu huyo, huyo, sasa unafanya kinyume . Haya endelea tuone na wewe utafika wapi unless wewe ni bora sana .
Wahaini ni serkali, wabunge na Polisi.Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Safi sana,huyu alikuwa Balozi wa Nchi Sasa anakiuka na kusaliti Nchi na kiapo chake.Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
na simu anayo anachati tuAmeandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Polisi wanafanyia kazi maneno ya Igp wao.Watu wanapanga uhaini kwenye club house?
Kumtuhumu Mtu kuwa ni Mwizi ni lazima utusaidie na Ushahidi wa Wizi wake maana kosa la Wizi ni Jinai. Kumtuhumu Uongo Rais wa nchi ni Kujidhalilisha Mwenyewe kwenye uso wa Dunia.
Wanasiasa badala ya kutumia Nafasi Vizuri kuviuza vyama vyenu mnaanza kutukana na Kutishia Viongozi sidhani kama ndilo lengo la Demokrasia eti kudhalilishana badala ya kuuza Sera zako.
Hao mnaotaka kuwanyonga kwa uhaini vifo vyao si kwa sababu ua Adhabu ya uhaini?Kwa upumbavu na ujinga wako wewe unaamini kifo ni adhabu au ni hukumu ya watu waovu.una fikra mbirikimo na akili zenye matege.
Maajabu sana haya....Watu wanapanga uhaini kwenye club house?
Mimi naamini kwa Chato kabisa haya yanayoendelea siyo maagizo ya Samia.Mama hajui kuwa hiyo yote ni movement ya kumng'oa yeye.
Atafululizishiwa matukio halafu si unajua mambo ya overweight, busy, uchovu na stress? MPANGO ni Mkakati wa kumalizia ndiyo maana akapangwa pale.
Hata mimi nimelishtukia sana hili.Usalama wa Samia ni kuamka usingizini sasa na kutoka maagizo kama amiri Jeshi mkuu.
Haiwezekani Kamwe mtu anayejitahidi kurekebisha mifumo ya haki eti hiyo huyo ndio awe mratibu wa hiki kinachoendelea, hili si kweli hata kidogo namuonea huruma sana huyu mama.
Kama nakuelewa vileMaadui wa mama na Wahaini halisi siyo upinzani Bali wapo ndani ya Ccm na kwenye mifumo, mnapowaona kina Kassimu wapo kimyaa kama hawapo jiongezeni akili.
Violation cum retaliationKwa kuwa nia ilikuwa amani, umoja na mshikamano kama unavyosema, haya yanayofanyika yanatupelekea kwenye nia hiyo au hizo nia hazina umuhimu kuzidi staha Kwa wakubwa?
Ameeni ameen. Mungu wetu wa Ibrahim Isaka na Yakobo atatwnda miujiza hajawahi kushindwa.Mateso wanayopewa hawa wazalendo na serikali ya ccm ni ya muda mfupi sana.
Mwenyezi Mungu hachezewi na kukandamiza wengine kutokana na ukweli wao ni DHAMBI kubwa sana.
Watambue kuwa kama ni UHAINI walioingia mkataba wa DPW ndio WAHAINI.
Kwa hiyo sio uhaini tena ni staha?Kwa kuwa nia ilikuwa amani, umoja na mshikamano kama unavyosema, haya yanayofanyika yanatupelekea kwenye nia hiyo au hizo nia hazina umuhimu kuzidi staha Kwa wakubwa?
Mkataba wa DP World na Sakata la wamasai Ngorongoro vinadhihirisha wizi wa Samiah.Kumtuhumu Mtu kuwa ni Mwizi ni lazima utusaidie na Ushahidi wa Wizi wake maana kosa la Wizi ni Jinai. Kumtuhumu Uongo Rais wa nchi ni Kujidhalilisha Mwenyewe kwenye uso wa Dunia.
Wanasiasa badala ya kutumia Nafasi Vizuri kuviuza vyama vyenu mnaanza kutukana na Kutishia Viongozi sidhani kama ndilo lengo la Demokrasia eti kudhalilishana badala ya kuuza Sera zako.