Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

UONGO
 
Wakati wa Mwendazake, watu walipiga kelele Mungu akajibu kwa namna yake. Umepewa nafasi na Mungu huyo, huyo, sasa unafanya kinyume . Haya endelea tuone na wewe utafika wapi unless wewe ni bora sana .
Kwa upumbavu na ujinga wako wewe unaamini kifo ni adhabu au ni hukumu ya watu waovu.una fikra mbirikimo na akili zenye matege.
 
Wahaini ni serkali, wabunge na Polisi.
 
Habari kama hizi awamu iliyopita zilikuwa zinatafsiriwa hapa JF kwa ajili ya "English audience".

Nafikiri kwa sasa kuna option ya translation kwenye app ya JF au mkalimani amestaafu.

BTW:Uhaini hauna plea bargaining!
 
Safi sana,huyu alikuwa Balozi wa Nchi Sasa anakiuka na kusaliti Nchi na kiapo chake.

Ashughulikiwe na wengine wa dizaini hii.
 
na simu anayo anachati tu
 

Mkuu huu ni uhaini?
 
Mama hajui kuwa hiyo yote ni movement ya kumng'oa yeye.
Atafululizishiwa matukio halafu si unajua mambo ya overweight, busy, uchovu na stress? MPANGO ni Mkakati wa kumalizia ndiyo maana akapangwa pale.
Mimi naamini kwa Chato kabisa haya yanayoendelea siyo maagizo ya Samia.

Mama anayo nafasi ya kusimama kama Rais na kukomesha huu uhaini anaofanyiwa ndani ya mfumo wake.

Ni hakika jamaa wamedhamiria 2025 mgombea Urais asiye mama, hizi medani za kivita za kumdhoofisha na kumchonganisha umma ili anuke ubaya na wanaelekea kufanikiwa.

Usalama wa Samia ni kuamka usingizini sasa na kutoka maagizo kama amiri Jeshi mkuu.

Haiwezekani Kamwe mtu anayejitahidi kurekebisha mifumo ya haki eti hiyo huyo ndio awe mratibu wa hiki kinachoendelea, hili si kweli hata kidogo namuonea huruma sana huyu mama.

Kama angalikuwa ni mama yangu ningemshauri aongoze kipindi kimoja akae pembeni watamuuwa.

Maadui wa mama na Wahaini halisi siyo upinzani Bali wapo ndani ya Ccm na kwenye mifumo, mnapowaona kina Kassimu wapo kimyaa kama hawapo jiongezeni akili.
 
Hata mimi nimelishtukia sana hili.

Na kuna mawakala wa uovu wamevamia jukwaa humu wako kama nyoka. Yaani maneno yao ukiyasikia kwanza hawakuwepo kipindi chote cha mjadala wameibuka na ID mpya au ID zilizokuwa domant tangu juzi kutangazwa Uhaini hewa.
 
Mateso wanayopewa hawa wazalendo na serikali ya ccm ni ya muda mfupi sana.
Mwenyezi Mungu hachezewi na kukandamiza wengine kutokana na ukweli wao ni DHAMBI kubwa sana.
Watambue kuwa kama ni UHAINI walioingia mkataba wa DPW ndio WAHAINI.
 
Kwa kuwa nia ilikuwa amani, umoja na mshikamano kama unavyosema, haya yanayofanyika yanatupelekea kwenye nia hiyo au hizo nia hazina umuhimu kuzidi staha Kwa wakubwa?
Violation cum retaliation
 
Mateso wanayopewa hawa wazalendo na serikali ya ccm ni ya muda mfupi sana.
Mwenyezi Mungu hachezewi na kukandamiza wengine kutokana na ukweli wao ni DHAMBI kubwa sana.
Watambue kuwa kama ni UHAINI walioingia mkataba wa DPW ndio WAHAINI.
Ameeni ameen. Mungu wetu wa Ibrahim Isaka na Yakobo atatwnda miujiza hajawahi kushindwa.
 
Mkataba wa DP World na Sakata la wamasai Ngorongoro vinadhihirisha wizi wa Samiah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…