ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
What are you talking about?
Hayo ya EPA, RICHMOND unayosema yameletwa hapa jf na kuwa backed up by hard evidence.
Jf siyo kijiwe cha kahawa kama unataka habari yako watu wenye fikra pevu waiangalie kwa macho mawili na waichukue serious.
Ulicholeta hapa ni kama udaku ambao unaweza kuokota sehemu yoyote ile.
What are you talking about?
Hayo ya EPA, RICHMOND unayosema yameletwa hapa jf na kuwa backed up by hard evidence.
Jf siyo kijiwe cha kahawa kama unataka habari yako watu wenye fikra pevu waiangalie kwa macho mawili na waichukue serious.
Ulicholeta hapa ni kama udaku ambao unaweza kuokota sehemu yoyote ile.
You seem to be too desperate for power!!
Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa. Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza. Ninyi kwa sasa inavyoonekana mnataka kuongoza kwa hali na mali.
Hizi spinning mnazozianzisha zitakuja kuwarudieni ninyi wenyewe. Historia ya chaguzi nyingi za nchi za Afrika imebainisha hili. You're setting the spinning bar very high kiasi kwamba hata mkiingia madarakani hamuwezi kuwapa wananchi kile mnacho spin kucha kutwa kama kinawezekana. otherwise, tunaanza kuona kama mko na mission za kutaka kujinufaisha kibinafsi
What are you talking about?
Hayo ya EPA, RICHMOND unayosema yameletwa hapa jf na kuwa backed up by hard evidence.
Jf siyo kijiwe cha kahawa kama unataka habari yako watu wenye fikra pevu waiangalie kwa macho mawili na waichukue serious.
Ulicholeta hapa ni kama udaku ambao unaweza kuokota sehemu yoyote ile.[/QUOTE mtu kuugua si lazima ulazwe hosipital
WANABODI,
Usalama wa viongozi wa chama kikuu cha upinzani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) upo hatarini.Akiwa njia ni kutokea Iringa, Dr. Slaa amefuatiliwa na Gari aina ya Landcruiser yenye vioo vya giza (Tinted) lenye namba za usajili T963 ABN. Awali waliokua ndani ya gari la Dr. Slaa hawakushtuka sana japo waliona kuna mchezo wa gari hilo kuwapita kwa kasi na kisha kupunguza mwendo ghafla na kisha gari la Dr. Slaa kuwapita tena.Walichukulia kama vile ni mchezo wa kawaida hadi walipofika Morogoro na kushtuka zaidi na kuanza kuchukua tahadhari kwa kunakili namba ya gari hilo
Walipofika kibaha ilibidi watoe taarifa kwa askari wa usalama barabarani.
Dr. Slaa na maofisa wa chama akiwemo afisa habari walishtuka zaidi walipofika njia panda ya Tamko-Bunju ambayo mara nyingi hutumika kunapokua na foleni kubwa ya maghari(Traffic Jam) na kulikuta gari hilo likiwasubiri
Baada ya kufuata barabara kuingia jijini Dar Es Salaam gari hiyo ghafla ikaingia nyuma ya gari aliyokua akitumia Dr. Slaa aina ya Landcruiser yenye namba za usajili namba T834 BJG. Ndipo afisa wake aliyekua ndani ya gari akapanda juu (Roof Top) na kufanikiwa kulipiga picha gari hilo.
Kuona hilo likifanyika gari hilo likapaki pembeni na ghafla likaondoka na kupotea hadi muda huu walipoingia Ubungo.
Sasa katika mazingira haya taifa linaelekea wapi? Kama watu wanafuatiliwa na kufanyiwa vituko mchana kweupe usalama wa Watanzania na hasa wanaharakati na viongozi wa upinzani Tanzania uko wapi? Mambo haya ni bora yafahamike mapema na watanzania wayajue. Hili ni tukio lisilo la kawaida kipindi hiki ambacho umma umekosa imani (loose confidence) na vyombo vya dola vinavyotumika kwa matakwa ya kisiasa.
Kuna matukio kadhaa yametokea miaka na miezi michache iliyopita yanayotoa taswira mbaya juu ya usalama wa raia na baadhi ya viongozi wanaokosoa utawala. Siku za karibuni Viongozi wa CHADEMA wamekua wakiwindwa sana na tayari chama hiki kikuu cha upinzani kilishatoa tuhuma kwa Usalama wa Taifa na baadhi ya viongozi wa juu serikali kuhusika katika mipango haramu ya kukihujumu chama hicho na hata kufikia hatua ya kuwabambikia kesi viongozi wake.
What are you talking about?
Hayo ya EPA, RICHMOND unayosema yameletwa hapa jf na kuwa backed up by hard evidence.
Jf siyo kijiwe cha kahawa kama unataka habari yako watu wenye fikra pevu waiangalie kwa macho mawili na waichukue serious.
Ulicholeta hapa ni kama udaku ambao unaweza kuokota sehemu yoyote ile.
mtu kuugua si lazima ulazwe hosipital.Watu wengi tunatembea huku tunaumwa
Boy!, You're all over the place like Frogs.Funny how people who just joined the forum (Jan - April 2013) seems to have similar arguments. Scripted ..??
Why on earth this is said to be spinning..?? Ask Mwakyembe what happened to him that year, or even ask that police constable who saw the accident and the vehicle involved, and why he was transferred immediately. Yeah, it is Nyombi, now in DCI's office.
C'mon u a...s h...les
Walichukulia kama vile ni mchezo wa kawaida hadi walipofika Morogoro na kushtuka zaidi na kuanza kuchukua tahadhari kwa kunakili namba ya gari hilo
Boy!, You're all over the place like Frogs.
Soma kwanza bandiko ili upate undani wa dhima ya mleta mada hapa.
Kwa akili yako, Kama kweli CHADEMA wanafahamu haya unayoyasema wangeendelea kudhani kama wanavyosema hapa'
Yaani mgombea 'URAIS' mtarajiwa wanachukulia kama kitu cha kawaida kinachotokea barabarani. haoni kama huo ni uvunjifu wa sheria za barabarani achilia mbali usalama wa maisha yake.
You must be joking if not serious.
Mtauziwa sana spin na kuzinunua sana mpaka uchaguzi kufika!
Mtu angekuwa na nia ya kumdhuru slaa angemdhuru mana kutoka iringa hadi dar ni parefu mno.hii habari si ya kuiamini
Hicho unakiona wewe na kinakubalika kwa sababu kile unachokiona wewe siyo kile wengine wanakiona.Unatumia nguvu nyingi kutetea visivyotetewa. Mengi hayasemwi, tungesema kila kitu nyuzi za jf zingekuwa ni hizo hizo asubuhi, mchana, jioni, usiku
mtafakali juu ya haya yote yatokeayo sasa ni kwa nini na kwa nini sasa na sio badae na kwanini si wakati mwingine wowote isipokua wakati huu yamekuwa mengi na kila kukicha huibuka mengine,,,
You seem to be too desperate for power!!
Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa.
Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza.
Jana Lema kamwambia Nassari aandike thread halafu yeye mwenyewe Lema akawa anaifutatilia kwa ID yake ambayo sio verified. Leo muda mrefu Dr. Slaa naye anafuatilia hii thread kwa ile ID yake nyingine.
Sasa, kama hoja ina mashiko kwanini Slaa anafanya mchezo wa kitoto? Si atoe tamko kama anavyofanyaga siku zote?
Ninawaambia, they are setting political spinning bar too high mpaka kwa sasa zinaanza kuonekana ni spinning za kitoto.Jana Lema kamwambia Nassari aandike thread halafu yeye mwenyewe Lema akawa anaifutatilia kwa ID yake ambayo sio verified. Leo muda mrefu Dr. Slaa naye anafuatilia hii thread kwa ile ID yake nyingine.
Sasa, kama hoja ina mashiko kwanini Slaa anafanya mchezo wa kitoto? Si atoe tamko kama anavyofanyaga siku zote?