Dkt. Slaa ahutubia mkutano wa CHADEMA. Asema sasa imekomaa kuongoza nchi

hiki kibabu kinahangaika kweli
 
Siasa ni dynamic. Hakuna rafiki wa kudumu na adui wa kudumu

Kama CCM walimpokea tena Lowasa tena kwa mbwembwe, kwa nini Chadema wasimpokee tena katibu wao mkuu bora wa wakati wote?

Chadema ya leo ni mti ambao Mzee Slaa alishiriki kuupanda.
Hilo halina ubishi mchango wake hauwezi kupuuzwa. Imank yake imebaki kugombea ubunge tu sio level ya Urais tena
 
Tuache fitna Dr Slaa ndio CHADEMA na CHADEMA ndio Dr. Slaa.
 
Naidharau sana siasa,kuna utapeli na unafiki mwingi mno
 
Ni mnafiki👇🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Wewe kweli ni mpumbavu. Hivi unamuonaga magu ni Mungu au? Wengine tulimchukulia kitu cha kawaida sana
 
Ukweli ni kuwa MaCHADEMA hawana tena mvuto wala sera zaidi ya matusi. Gaidi ameamua kubadili tena Gia angani kwa kumrudisha Halima Mdee team na Babu mzinzi mwizi wa wake za watu Slaa kuwa front line. Babu Mzinzi hajawahi rudisha kadi ya CCM tangu achukue 1989. Chiba Lissu hakubaliani na hiyo move kaamua kurudi kulelewa na hawara kule BEJIAMU. Sasa sasa in Chiba voice. MaCHADEMA yanajipaka matapishi kwa sababu hayana watu wengine zaidi ya hao wahuni. CCM tu narudi tena kuiendesha MaCHADEMA taka yasitake. Yees matusi ya MaCHADEMA yaendelee.
 
CHADEMA, msipuuze Dr. Slaa hata wale waliomponda Dr.Slaa wakati anasusa Leo wapo CCM wanalamba asali. Siasa ni upepo siasa ni watu, anaweza kuja Leo Kwa nia ovu, lakini akatamani akawa shujaa wa chama, mpokeeni siasa ichangamke na adui yenu hamuwezi kumjua kamwe mpaka siku atakapowaumiza.
 
Nashauri Chadema iunde kitengo Cha Sera na mipango ambacho litakua na Mkurugenzi wake,ambaye atakua ni Dr. Slaa.

Ukisema arudi kwenye Ukatibu mkuu pataibuka Mgogoro mana Kuna mtu ambaye Kwa hakika ni Mtiifu sana Kwa Chama yaani John Mnyika.

Au kama Mwenyekiti atabadilika na kuja Chadema asili ya Kupiga vita Ufisadi ikiongozwa na Mwenyekiti kama Lisu au Heche au Msigwa basi Dr. Slaa atafiti sana kwenye Ukatibu mkuu.

Dr. Slaa anafaa sana kuwa kwenye nafasi za juu ili arejeshe heshima ya Chadema kupambana na CCM na mafisadi wake
 
Lowassa was not a traitor lakini
Ila alikuwa kama adui wa taifa kwa jinsi chadema walivyowahi kumtangaza kwa ufisadi, haikuwa rahisi mtu kudhani kwamba ipo siku Lowasa atakuja kuwa mwana chadema achilia mbali kuwa mgombea wao wa urais. Halikuwa jambo la kawaida hata kidogo.
 
Mnyika ni dhaifu na mwoga sana. Hafai hiyo nafasi. Mrudisheni Slaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…