Dkt. Slaa ahutubia mkutano wa CHADEMA. Asema sasa imekomaa kuongoza nchi

Dkt. Slaa ahutubia mkutano wa CHADEMA. Asema sasa imekomaa kuongoza nchi

Lowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa

Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili
Hasira zako za kuchapiwa na mda wote kulea mtoto siyo wako unahamishia kwa chadema.
 
Lowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa

Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili
Wewe za kwako ziko wapi? Kama unampenda mchukue muanzishe naye chama chenu. Kelele za nini?
 
Kama ni kweli basi mbowe na wahuni wenzie wamekubali kuwa chadema ipo shimoni sasa wanatafuta mtu wa kukitoa chama shimoni .. wakumbuke huyo jamaa alikuwa mfuasi wa siasa za magufuli [emoji1787]tuliwaambia chadema siku nyingi kuwa kumpinga mzalendo ni kujichimbia shimo wenyewe wakabisha ....chadema washukuru kuwa sasa hivi hakuna chama chochote cha upinzani chenye kubeba legasi ya nyerere wala magufuli vinginevyo wangebaki mdomo wazi maana kifo cha hicho chama kinge vunja rekodi ya vifo vyote
Yaani udevelop hisia zako mwenyewe halafu uanze kuwavurumishia mate chadema? Hopeless fellow.
 
Tuwekane sawa
Amehutubia mkutano wa CHADEMA au Amehudhuria mkutano wa CHADEMA?

TUSICHOSHANE
 
Soma👇👇👇
Screenshot_20230227-220146.png

Source: Mwananchi digital media
 
Political science.... we got a long way to go [emoji124]
 
Back
Top Bottom