imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Me too, kwa maana utakuwa ni utoto.Chadema wakimchukua na kumpa ngazi ya juu basi nitagombea ubunge kupitia chama cha ccm. Maana itakuwa hakuna namna sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me too, kwa maana utakuwa ni utoto.Chadema wakimchukua na kumpa ngazi ya juu basi nitagombea ubunge kupitia chama cha ccm. Maana itakuwa hakuna namna sasa.
Sio utoto ni uhuniMe too, kwa maana utakuwa ni utoto.
Waliomfunga mbowe tunawajua ni s/gang waliotaka kumfunga hadi mama mdomoTime Ile walikuwa na bashasha Hadi kumwita Anaupiga mwingi'', hawakujua atafungwa 8 months.
Hasira zako za kuchapiwa na mda wote kulea mtoto siyo wako unahamishia kwa chadema.Lowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa
Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili
Mkuu mbona hujatuletea mrejesho wa yule kibaka mliomchoma mshae wa sumu?Mbona alijilisha kiapo cha kustaafu siasa imekuwaje tena leo?
Wewe za kwako ziko wapi? Kama unampenda mchukue muanzishe naye chama chenu. Kelele za nini?Lowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa
Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili
Yaani udevelop hisia zako mwenyewe halafu uanze kuwavurumishia mate chadema? Hopeless fellow.Kama ni kweli basi mbowe na wahuni wenzie wamekubali kuwa chadema ipo shimoni sasa wanatafuta mtu wa kukitoa chama shimoni .. wakumbuke huyo jamaa alikuwa mfuasi wa siasa za magufuli [emoji1787]tuliwaambia chadema siku nyingi kuwa kumpinga mzalendo ni kujichimbia shimo wenyewe wakabisha ....chadema washukuru kuwa sasa hivi hakuna chama chochote cha upinzani chenye kubeba legasi ya nyerere wala magufuli vinginevyo wangebaki mdomo wazi maana kifo cha hicho chama kinge vunja rekodi ya vifo vyote
Tuwekane sawa
Amehutubia mkutano wa CHADEMA au Amehudhuria mkutano wa CHADEMA?
TUSICHOSHANE
Hana tofauti na covid19 ni msaliti tu.Alihudhuria na kupewa nafasi ya kuongea.
😆😅🤣😂Mkuu mbona hujatuletea mrejesho wa yule kibaka mliomchoma mshae wa sumu?
Maisha bila unafki hayaendi - Edo Kumwembe
Once a traitor...!?