Usipotoshe, dr Slaa amepigiwa sim na mwenyekiti arudi akaokoe jahazi baada ya m'beleji kuingia mitini.
Kama CDM ingekuwa na mvua yule m'beleji uchwara asingeingia mitini maana angekuwa na uhakika wa kuchukua nchi.
Dr ameitwa baada ya viongozi kuona chama kimefikia maji ya shingo na ni Dr pekee ndo anaeweza kujitahidi kukirudisha kwenye reli.
Hata hivyo amechelewa kwani watanzania wa leo sio wale wa Mwembeyanga au Soweto Arusha.
Ukiona habari haijaandikwa na mwenyekiti wa chawa mheshimiwa
Erythrocyte basi ujue kuna jambo kaliona halipo sawa hapo chamani kuhusu huyu mzee kurudi Chadema.
So wewe endelea kujidanganya na kujicheka mwenyewe pembeni.