Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Ukiona adui anakutetea jua kuna sehem umekoseaAcha uongo Dk slaa usimlinganishe na Mbowe
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona adui anakutetea jua kuna sehem umekoseaAcha uongo Dk slaa usimlinganishe na Mbowe
USSR
Muda mchache kabla ya vikongwe kuaga dunia, huwa wanarudi kwenye vyama vyao walivyo visusa awali! Nafikiri ni kutamani matanga makubwa yatakayo jaza watu!
Mbona alijilisha kiapo cha kustaafu siasa imekuwaje tena leo?
Alihongwa ubaloziAlipokuja ccm mlimpa nini?
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka, eti matanga yanayojaza watu.Muda mchache kabla ya vikongwe kuaga dunia, huwa wanarudi kwenye vyama vyao walivyo visusa awali! Nafikiri ni kutamani matanga makubwa yatakayo jaza watu!
Wewe ndo juha Tena mwehu kabisa,uko ccm kusubiri uteuzi na haupati ng'oooChadema ni majuha hayana akili. Lowassa aliyezaliwa ndani ya CCM walimuamini, alafu Leo wanasema hawamuamini slaa
AbsolutelyLowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa
Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili
Lowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa
Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili
So Magufuli alipokuwa akichukua akina Katambi, Waitara,Sumaye CCM ilikua inaelekea shimoni?Kama ni kweli basi mbowe na wahuni wenzie wamekubali kuwa chadema ipo shimoni sasa wanatafuta mtu wa kukitoa chama shimoni .. wakumbuke huyo jamaa alikuwa mfuasi wa siasa za magufuli [emoji1787]tuliwaambia chadema siku nyingi kuwa kumpinga mzalendo ni kujichimbia shimo wenyewe wakabisha ....chadema washukuru kuwa sasa hivi hakuna chama chochote cha upinzani chenye kubeba legasi ya nyerere wala magufuli vinginevyo wangebaki mdomo wazi maana kifo cha hicho chama kinge vunja rekodi ya vifo vyote
Kwahiyo mnamwamini Lema aliyeuza ubunge wake mara 2 kwa Felix Mrema?
Angekuwepo chama kingefanikiqa kumuingiza Ikulu fisadi.Na kukisaliti wakati kilipokuwa kinahitaji sana uwepo wake?
Kweli duniani maajabu hayakomi.
Whatever the case he is not trusted anymore!
Kama kuhamia Ccm ni kuweka mbele maslahi ya taifa basi ni sawa.Angekuwepo chama kingefanikiqa kumuingiza Ikulu fisadi.
Slaa alifanya uzalendo kwa kuweka mbele maslahi ya Taifa badala ya chama.
Jaribu kufuatilia siasa za Kenya, hayo mambo ni kawaida sanaHizi siasa za aina hii naona zipo Tanzania pekee, sawa sikatai, Dr. Slaa ni haki yake kujiunga na chama chochote, lakini mbona amerudi kimya kimya? nakumbuka siku sio nyingi Lissu alimfagilia, nikajua ile ilikuwa ni dalili ya huyu mzee kurudi Chadema, na hapo sasa anaonekana anahutubia.
Nikitazama namna wanasiasa wengine wanavyotumika na CCM kwa nyakati tofauti, Lipumba kwa mfano, namuona na Dr. Slaa ameingia kwenye huo mkumbo, na bahati mbaya sasa Chadema nao ni kama wamekubali kuingizwa kwenye huo mkumbo.
Wawe makini na huyo mtu, wasimpe nafasi kubwa ya kusikika wanachama na wapenzi wa Chadema wamzoee, halafu baadae tena aje kugeuza njiani awaache safarini peke yao.
Tukianza na lile la kumuita Lowassa fisadi kisha kumpokea, baadae tukaambiwa huyu alifichwa na mkewe nyumbani akasusa, leo amerudi tena. Haya mambo mwishowe yatawafanya viongozi wa Chadema waonekane hawana misimamo, na chama nacho kitaonekana "how comes" kwa wengine.
Kama dikteta Magufuli hakuweza kuiua CDM baasi haitakufa leo wala kesho.Kama ni kweli basi mbowe na wahuni wenzie wamekubali kuwa chadema ipo shimoni sasa wanatafuta mtu wa kukitoa chama shimoni .. wakumbuke huyo jamaa alikuwa mfuasi wa siasa za magufuli [emoji1787]tuliwaambia chadema siku nyingi kuwa kumpinga mzalendo ni kujichimbia shimo wenyewe wakabisha ....chadema washukuru kuwa sasa hivi hakuna chama chochote cha upinzani chenye kubeba legasi ya nyerere wala magufuli vinginevyo wangebaki mdomo wazi maana kifo cha hicho chama kinge vunja rekodi ya vifo vyote
Wewe na maccm wenzako ni mataahira kabisa kwani huyo Slaa kabla ya kuwa Chadema si alitokea huko huko CCM?Lowassa aliyezaliwa CCM mlimpokea na kumuamini na kumpa nafasi ya kugombea uraisi. Iwe kwa slaa
Chadema wengi ni majuha, hayanaga akili