Dkt. Slaa ahutubia mkutano wa CHADEMA. Asema sasa imekomaa kuongoza nchi

Dkt. Slaa ahutubia mkutano wa CHADEMA. Asema sasa imekomaa kuongoza nchi

Dk Slaa kila mtu anajua kuwa sera hutokana maoni ya ya watanzania wote juu ya kile wanachokitaka kifanyike.

Acha porojo
 
Ni wapumbavu TU wanaomwita Dr .Slaa Msaliti.
Dr.Slaa hakuwa tayari kumweka madarakani Lowasa . Alikua ameshamtangaza kuwa ni Fisa aliyewaibia watanzania kupitia serikali ya CCM. Sasa angewezaje Tena kumweka madarakani Mwizi.

Ni sawa na kumwachia nyumba kibaka ili alinde.

Slaa alipima kati ya kumpigia kampeni Lowasa na kumsema vibaya JPM ambaye Kwa wakati ule ndiye Waziri Aliyekua anasifiwa na kila mtu Kwa uchapa kazi na kuwashughulikia makandarasi wababaishaji.
Aliona dhamira yake itamsuta.
Dr. Slaa mbali na siasa lakini ni mcha MUNGU. Anaamini katika haki,wema ,ukweli, ,uadilifu na msimamo wenye dhamira njema.

Dr. Slaa akirudia Chadema nitamuunga mkono asilimia mia moja
Ile siku ya kumpokea Lowassa Chadema, Dr. Slaa alikuwepo pale, yule hakuwa na msimamo, alikuwa kigeugeu.
 
Hatimaye CDM wamesikiza ushauri,

Binafsi nimekuwa nikishaauri wazi umuhimu wa Slaa CDM,

Nashauri arudi nafasi ya Katibu mkuu wa chama, chama kitaimarika sana kimkakati na kisera kuepuka siasa za matusi ,ushabiki na kuvizia matukio.


Dr Slaa anaweza kuwajibu Kwa HOJA wazee wa CCM kama wassira na PINDA kuelekea kupata njia ya kuandika KATIBA mpya.

Ni kwema mbeleni, ni kwema mbeleni.

Mungu ibariki TANZANIA,

Mungu ibariki CDM.

Aamen
Taasisi haitakiwi kumtegemea individual, kama ikiwa hivyo basi itaanguka mapema sana.

Dr. Slaa ameondoka lakini Chadema haikuwahi kutetereka, bado ipo juu tu, inaungwa mkono kwa nguvu zile zile kabla Slaa hajaondoka.
 
Taasisi haitakiwi kumtegemea individual, kama ikiwa hivyo basi itaanguka mapema sana.
Ni Kweli bt taasisi kama mfumo unategemea watu wenye capacity,

Dr MASHINJI Kwa mfano alifikia uwezo wa Dr Slaa, au Mnyika anatosha?

Nionyeshe ndani ya CDM au ndani ya CCM mwenye capacity inayofkia Dr Slaa.
 
Nilifarijika kumuona Mzee Slaa kwenye mijadala kadhaa. Sio afya ya taifa kukosa mchango wa watu makini kama Dr Slaa.
 
Kama ni kweli basi mbowe na wahuni wenzie wamekubali kuwa chadema ipo shimoni sasa wanatafuta mtu wa kukitoa chama shimoni .. wakumbuke huyo jamaa alikuwa mfuasi wa siasa za magufuli [emoji1787]tuliwaambia chadema siku nyingi kuwa kumpinga mzalendo ni kujichimbia shimo wenyewe wakabisha ....chadema washukuru kuwa sasa hivi hakuna chama chochote cha upinzani chenye kubeba legasi ya nyerere wala magufuli vinginevyo wangebaki mdomo wazi maana kifo cha hicho chama kinge vunja rekodi ya vifo vyote
Mi naona umeangalua upande mmoja muongelee Slaa zaidi je,ni njaa,mapenzi yake kwa cdm au ni mpinzani by nature
 
Chadema ni majuha hayana akili. Lowassa aliyezaliwa ndani ya CCM walimuamini, alafu Leo wanasema hawamuamini slaa
Slaa hakuzaliwa ndani ya CCM? unamjua slaa vizuri au umezaliwa juzi miaka ya 2000?
 
Dk Slaa kila mtu anajua kuwa sera hutokana maoni ya ya watanzania wote juu ya kile wanachokitaka kifanyike.

Acha porojo
View attachment 2531351
Idugude acha ukinyonga leo hii wewe unachepuka na kudai kuwa sera ni za Wananchi na siyo chama?

Umejisahaulisha ambavyo umekuwa ukisema kwa kelele mara nyingi kuwa chadema haina sera, leo umeambiwa sera za chadema zilivyotumiwa na Mkapa unalialia.
 
CDM, iandae utaratibu wa kumpokea slaa rasmi, unless ACT, atakuwa juu, kufanya mabadiliko sio dhambi, mbowe pumzika kwa sasa ili kuokoa chama!
 
Hakika waswahili wanasema kuwa shukrani ya punda ni mateke.

Tuyaache hayo ya kiswahili.
Dr Silaa amewageuka waajiri wake wa mchongo mara baada ya kushiba.

Naona sasa kuwa huyu babu anacheza na jinsi upepo wa siasa unavyokwenda ndani ya vyama vikuu hapa Tanzania [emoji1241] yaani CHADEMA na CCM.

Keshaona kuwa cdm sasa ndiyo kipo kwenye mvuto mkubwa sana kuliko kule ccm aliko kimbilia ili ajaze tumbo lake.


Naomba tumsikilize anaweza akawa yupo Sawa maana maisha ni kupanga na kuchagua.
 
Dhana ya Chadema kuwepo juu kutokana na mtu fulani ilimdanganya Mwendazake akawapa vyeo akina Silaa, Silinde, Nassari, Lijuakali na wengine, huku akiwapa Ubunge Halima Mdee na wenzake kwa mategemeo ya kuidhoofisha Chadema. Hii ni dhana potofu. Kilichopo ni kwamba, CCM ni sawa na Samaki aliyeoza. Hata ikitokea Freeman Mbowe akahamia CCM, Chadema itaendelea kuwa juu kwa sababu CCM imeuawa na Wanasiasa waliokikabidhi Chama hicho mikononi mwa Polisi. Kwa nini Waafrika hatujifunzi? Jeshi la Polisi la Makaburu lilikuwa na nguvu sana. Jiulizeni, kilichokuwa Chama Tawala cha Makaburu kiko wapi? Yale Magari ya kuwamwagia upupu wafuasi wa ANC ya Nelson Mandela yamehama Afrika Kusini baada ya kununuliwa na Jeshi la Polisi Tanzania, chini ya Chama cha Mapinduzi, CCM. Kwa nini CCM inashindwa kujifunza kutokana na Historia hii ya miaka ya karibuni?
Hakika www Ni pipoz haswa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom