atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio nini?Game over.
Siku zote njaa ni mbaya sana.hap0 policccm wamegusa pabaya huyo mwamba huwa harudi nyuma na maneno yake ni makali kuliko radi
Wewe na nani mlipopataka?! Wewe ni Keyboard warrior!Nchi imefika tulipopataka
Wabaya wake ni wauza bandari.Isije ikawa wabaya wake wametumia upepo coz mpaka sasa hivi jeshi la polisi bado halijatoa taarifa rasmi kuhusu tukio hilo
Unapakatwae[emoji849]Ulitaka itumie mkono wa karatasi? IGP kawaambia wakome wao bado wanajifanya wajanja.[emoji1787]
Huyo mbona hiyo ndiyo kazi yake?Unapakatwae[emoji849]
Ubalozi wenyewe wa kuzawadiwa na Jiwe?
Kabisa mkuu.Nakataa siyo swala la watu weusi Bali makondoo ya Tanganyika tu, hata hapo Zanzibar hawapo hivi.
Wakenya nadhani mziki wao unaouona, ni kuwakosea heshima kuwafananisha wakenya na makondoo ya Tanganyika yaliyopumbazwa na ushirikina wa Mwenge.
Unawezaje kumpangia mtu cha kuchangia hapa jukwaani?Wewe na nani mlipopataka?! Wewe ni Keyboard warrior!
Yule waziri anaweza kuongoza kwao tu hapa kachemshaSiku zote njaa ni mbaya sana.
Sometimes, unaambiwa kutekeleza maagizo ambayo hata wewe mwenyewe hukubaliani nayo, ila kwa sababu Bosi kasema, unakuwa huna jinsi.
Wewe ebu nenda kalinde kaburi maana leo ni zamu yakoUlitaka itumie mkono wa karatasi? IGP kawaambia wakome wao bado wanajifanya wajanja.[emoji1787]
Mwalimu Nyerere hakuwaona aibu walakuwachekea wanaotaka kuvuruga amani na uchochozi.Hata aliodai nao uhuru,wakileta ujinga hakuwachekea,Kina Bibi Titi,KinaFundikira,Kina Kambona na wengineo.Nchi imefika tulipopataka
Samia amegeuza Ikulu pango la majambazi!!Zama za Giza zinarudi Kwa Kasi ya ajabu.
Siyo asali sema amevimbiwa na kayogaUmeshavimbiwa na asali
Ndio akili ulizobaki nazo.Unapakatwae[emoji849]