Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umesahau kuwa maaskari wengi ni darasa la 7 na form 4 failure yan ma div 4 yale ya mwisho mwisho ndio mana kila kitu wao ni ndio, hawajui kulogic kitu...Ilinishangaza sana mwaka jana madogo waliopiga division 1 kali na 2 nzuri waliombaga kazi za upolice wakapigwa chini kwa kigezo cha wao wanaweza kwenda chuo ile kazi ya upolice wawaachie watu walofeli... Something somewhere is not okay...
 
Sio kusifiwa mkuu

Sadaivi anaelekeza nguvu kwenye kichafua wengine, hasa asiowaunga mkono..

Ipo sawa hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…