Kwa hiyo unawatisha??Panawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Kumbee ! 😅Kamata kamata ikianza mapema hivi,itasaidia Lissu kukimbia nchi, hata uchaguzi wa ndani ya chama ,hatakuwepo
SawaWewe huna tofauti na kunguru muoga. Na kubali tu, huu ushauri wako ni wa hovyo kupitiliza.
Watu wanachukulia poa lakini sasa hivi huko CCM na serikalini kuko moto zaidi kuliko huu moto wa mabua unaowaka Chadema. Dr. Slaa amesema hao wasiri wake wamemwambia aeleze wazi kuwa taarifa hizo zimetoka huko na kwa sasa wameamua kutoka hadharani hivyo hili jambo ni kubwa,Mama amechokwa kama alivyochokwa Sultan Mbowe ndiyo maana wana maagano yao kusaidiana katika hizi vita zao.We kwa akili yako unadhani Slaa ni wa kuendeshwa na vijana? Huyu mtu Slaa ni mtu mwenye akili sana kumbuka
Tufe tu kuna ambaye ataishi milele ... ?Panawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Mzee mnafiki sana huyu. Kwanza alijuwa Padri wa Katoliki, akashindwa maadili ya Ukatoliki kwa kuwa na familia. Kisha akatoka kwenye upadri na kuwa mwana CHADEMA.Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.
- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
View attachment 3197059
View attachment 3197183
Hii vita Bado mbichiii
Hiki ni nini?
Duh。。。!Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.
- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
View attachment 3197059
Mama yake labda.Mama nani?
Club houseHiki ni nini?
Kitoto cha 2000 hicho Bado kinaishi na kula Kwa shemeji yake, dada yake asipochanua miguu ujue atashinda na njaa siku hiyoWe kwa akili yako unadhani Slaa ni wa kuendeshwa na vijana? Huyu mtu Slaa ni mtu mwenye akili sana kumbuka