Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Kwa hiyo unawatisha??
 
We kwa akili yako unadhani Slaa ni wa kuendeshwa na vijana? Huyu mtu Slaa ni mtu mwenye akili sana kumbuka
Watu wanachukulia poa lakini sasa hivi huko CCM na serikalini kuko moto zaidi kuliko huu moto wa mabua unaowaka Chadema. Dr. Slaa amesema hao wasiri wake wamemwambia aeleze wazi kuwa taarifa hizo zimetoka huko na kwa sasa wameamua kutoka hadharani hivyo hili jambo ni kubwa,Mama amechokwa kama alivyochokwa Sultan Mbowe ndiyo maana wana maagano yao kusaidiana katika hizi vita zao.
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Tufe tu kuna ambaye ataishi milele ... ?
 
download-1.jpg

Hii vita Bado mbichiii
 
Dr Slaa amekamatwa usiku huu.

Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.

Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.

- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...

View attachment 3197059
Mzee mnafiki sana huyu. Kwanza alijuwa Padri wa Katoliki, akashindwa maadili ya Ukatoliki kwa kuwa na familia. Kisha akatoka kwenye upadri na kuwa mwana CHADEMA.

Aakatoka CHADEMA kwa kukubali rushwa ya kuishi Canada na kisha kuwa balozi wa Tanzania nchini Belgium chini ya Magufuli.

Magufuli amekufa naye amekuwa IRRELEVANT, sasa hivi amekuwa mzee wa CHOKOCHOKO na KUROPOKA.

Sipendi mijitu MINAFIKI
 
Kibabu kilichojiishia namna ile unakikamata Cha nini'?!!!! Kiachwe tu kiliropokee Hadi kiishiwe na sauti na kiangukie mbali na udini wake..........ameeshindwa Kila kitu kwenye maisha Sasa inamuuma akiona wenzake wanafanikiwa.
 
Dr Slaa amekamatwa usiku huu.

Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.

Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.

- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...

View attachment 3197059
Duh。。。!
P
 
Back
Top Bottom