Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakachape vizuri haka kazee kanafki,kafitini na kasaliti saana.
Kenyewe kalisaliti kakapewa ubalozi na mwendazake Sasa kanawaza kilamtu ananjaa ya kuhongwahongwa kama "Malaya Malaya hivi"...in Nyerere voice
 
Inasikitisha sana kuona watu wanafagilia sana kutekana karne hii kisa tu hawataki Tundu Lisu awe kiongozi,ccm wana shida sana.
 
Kitendo Cha Dkt. Slaa, kukamatwa Leo Ijumaa, ni timing nzuri sasa atapata dhamana Jumatatu
Dk Slaa kushitakiwa, kunyimwa dhamana
Ijumaa, Januari 10, 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…