Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safi sana huyu Mzee mpumbavu amekuwa anamchafua Rais kisa upuuzi wao wa kugombea madaraka huko Chadomo via vibaraka wake.

Pia huyu Mzee na Kitima wanatumia Kanisa lao kueneza chuki za kijinga Kwa Rais.

Huyu atiwe adabu asitoke Hadi 2026 itapendeza sana,anajikuta spesho sana na Nchi ni familia yake anaichezea anavyojiskia.
Wajinga kama ww nani anawapa access ya kujiunga Jf ?ona sasa mnaposti uharo humu pumbafuu
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Samia ana uchu wa madaraka, anfanya kila liwezekanalo aendelee kitawala ili wanawe, wazanzibari na waarabu wazidi kufaidi rasilimali za Tanganyika. Watanganyika lazima tudai uhuru wetu
 
Dr Slaa amekamatwa usiku huu.

Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.

Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.

Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...

View attachment 3197059
Slaa atapewa kesi ya uchochezi ...

Slaa ameshindwa kabisa kuwa 'loyal' kwa Ccm japo walimpa Ubalozi.
 
Samia ana uchu wa madaraka, anfanya kila liwezekanalo aendelee kitawala ili wanawe, wazanzibari na waarabu wazidi kufaidi rasilimali za Tanganyika. Watanganyika lazima tudai uhuru wetu
Na mwanae Abduli wanakula hii mpigaji sana..Abduli kiiila wizara yumo na kila dilii ni lake..ndio maana aanatapanya pesa kuhonga mbowe wakat Watanganyika wanataabika..Hvi hata hao watekaji ni mazimwi au?yani tunakoloniwa na wazanzibar na yenywe inashupaza mafuvu tu.Ridiculous!
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Wewe huna tofauti na kunguru muoga. Na kubali tu, huu ushauri wako ni wa hovyo kupitiliza.
 
Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.

Amandla...
Huitaji kuwa Usalama wa Taifa kusikia kilichosikika na Ukingatia kinarushwa Youtube..., Ndio maana hizi allegation nyingine kama you can not back them na zinaweza kuonekana kama ni slander au kuleta taharuki ni bora ukabaki nazo mwenyewe... By the way kama unasema Usalama wa Taifa haupo Salama (Una leakage, au unaona kuna mipango ya kishetani inafanyika katika nchi na inaacha iendelee) Si lazima uojiwe au kuombwa kusaidia polisi ili kurekebisha hizo ndivyo sivyo ?

All in all nilishasema zamani na ninasema tena...

 
Wajinga kama ww nani anawapa access ya kujiunga Jf ?ona sasa mnaposti uharo humu pumbafuu
Waliokuzaa ndio wamenipa access.

Hiyo Msaliti wa Kanisa anatapatapa Kwa kukosa wajukuu,umri huo sio wa kupiga makelele ameshakongoloka.

Sasa ngoja ashughulikiwe alikoswa.kipindi.kile.saizi wasimuachie Hadi ashike adabu.

Imipendeza atake ndani 2026.
 
Ukweli huu alitakiwa pia kuongea wakati wa shujaa Magufuli ili tulinganishe kati ya magu na mama nani zaidi.
Waislamu hamnaga akili sababu ya ma mafrasa yenu hayo sasa ulinganishe nn wakati rais alikua mwingine magufuli..kwaio ulitaka awalinganishe samia na magu?
 
Waliokuzaa ndio wamenipa access.

Hiyo Msaliti wa Kanisa anatapatapa Kwa kukosa wajukuu,umri huo sio wa kupiga makelele ameshakongoloka.

Sasa ngoja ashughulikiwe alikoswa.kipindi.kile.saizi wasimuachie Hadi ashike adabu.

Imipendeza atake ndani 2026.

Dr. Slaa siyo mjinga. Anajua anachokifanya. Hiyo kamata kamata yake ni kuwatisha wengine. Mwisho wa siku watamuachia aendelee na shughuli zake. Maza hana ubavu wa kuhandle mambo mazito ka haya.
 
--Ahaojiwe, akanywe kuhusu kuzungumza mambo ambayo hayana ushahidi, kwa aliuoyasema anaweza kupandishwa mahakamani aidha aachiwe tu, Dk slaa amevurugika akili by physical appearance, sisi wataalamu wa saikolojia tunaona hivyo!, karata nzuri awekwe sawa apewe ukuu wa wilaya fulani (karatu)

Mambo ya kisiasa na rushwa hayanaga ushahidi wa wazi. Ni wewe tu kuchambua ukweli na uongo. Kwa jinsi Maza anavyomwaga pesa it's clear.
 
Back
Top Bottom