alishatumika kama KONDOMU siku ile alipowasaliti wenzake umbwa huyu...sasa imetupwa hukooHuyu ndiyo maana hatakumbukwa kamwe kama mwenzake Kafulila. Huyu ana maneno mengi sana yasiyo na maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alishatumika kama KONDOMU siku ile alipowasaliti wenzake umbwa huyu...sasa imetupwa hukooHuyu ndiyo maana hatakumbukwa kamwe kama mwenzake Kafulila. Huyu ana maneno mengi sana yasiyo na maana
Umempa makavuMuache atoe maoni yake, kama unataka afunge domo lake nawe funga lako.
Kwa Magufuli uliongea, leo kwa Samia upo kimya, kachezee akili za wajinga wenzio.
Hilo zee limejaa chuki kifuani kama shetani.Ninachokumbuka aliwahi kulizungumzia ili kipindi cha mwendazake alikuja likizo! aliwaambia waende Mahakaman kupinga tamko la Rais
Hayo sisi hayatuhusu hoja mezani acha kukimbilia mambo ya watu inaonekana imewaingia eeNa mke akamshinda
Kulikuwa na zuio?Hilo zee limejaa chuki kifuani kama shetani.
Mbona Samia humfukuzi huyu anapingana na wewe hadharani?!
Ahaaa.Mbona Samia humfukuzi huyu anapingana na wewe hadharani?!
Una akili hata moja?Sio popo...ni mfia dini .
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Kwahiyo angetueleza pia ile ilikuwa ni nini kama haikuwa katazo !! Mbona tunaambiwaga tangazo lolote analotoa Mkuu wa Nchi hapo hapo linakuwa ni sheria. ?! Dr atufahamishe ile ilikuwa ni nini ??!!
Kwanini wakati wa jpm hakuzungumza haya..Wengi hawajamuelewa Slaa, elimu yetu bado haijalisaidia Taifa kuzalisha wasomi wenye uwezo wa kuchanganua mambo.
Slaa yuko sahihi kabisa.
Kama Magufuli alikuwa sahihi katika Sheria kwanini uliuliza swali pale Ikulu.Mkuu JokaKuu , Dr Slaa is good ila kuna vitu havijui, amri ya rais hata kama amri batili, inakuwa ni sheria inaitwa silent law, na ilifuatiwa na utekelezaji.
Katiba yetu inasema sheria yoyote iliyo kinyume cha katiba ni null and void abinitio!, ila kwa mujibu wa katiba ni taasisi moja tuu ndio yenye mamlaka ya kutamka jambo fulani ni null and void. Taasisi hiyo ni Mahakama Kuu ya JMT, hakuna mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote iliyofungua shauri lolote kupinga kuzuiliwa kwa mikutano ya vyama, hivyo kuzuiliwa kule kutokuwepo!.
P
Mmeshaambiwa kulikuwa na SIMBA WA YUDA..!!! Sasa sijui mnataka muambiweje..Mbona wakati mwendazake, aliookuwa hai hakuyasema hayo
Wanasiasa bana [emoji1]
Ova
Wote ndio wale wale,kuna hoja gani ya kujibu pale wakati kila mtu anajua yule bwana'ke alivyokuwa akijifanya mbabe wa kuvunja katiba halafu leo analeta ujinga.JIBU HOJA LAKE NA C MATUSI.MARA NYNG WENYE AKILI MGANDO BADALA YA KUJIBU HOJA WANATUKANA
Aliyeendeleza katazo haramu Kwa miaka 2, ni DICTETA pia?Katazo lilikuwepo , katazo haramu, ndio maana tunasema Magufuli alikuwa dikteta aliyekuwa akiipuuza katiba ila Slaa anasema Magufuli hakua dikteta