Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kwenda kwake Canada kulizuia msichukue nchi?..Dr mihogo ...sina hamu nae yaani upinzani ulikuwa unabeba nchi halafu akaenda zake canada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda kwake Canada kulizuia msichukue nchi?..Dr mihogo ...sina hamu nae yaani upinzani ulikuwa unabeba nchi halafu akaenda zake canada
Hana hiyo credibility, ndio maana hata Chadema kwenyewe hawamtaki. Aliwahi kuongelea Shambulio la Lissu? Kwa kuwa alikuwa anakula, atulie na wenzake wale.
...hahaha alirudisha nyuma juhudi za kuchukua nchiKwenda kwake Canada kulizuia msichukue nchi?
Huyu mzee anamvaa Shoo yeye akiwa kama nani?Je hapa Tanzania hairuhusiwi kutamka na kusema unachokitaka?
Moderators hii siyo ya kufuta. Ni habari inatugusa wote na vizazi vyetu vijavyo!
ASKOFU SHOO TUBU NA UTASAMEHEWA
View: https://www.youtube.com/watch?v=vHYWarHQk78
Moderators hii siyo ya kufuta. Ni habari inatugusa wote na vizazi vyetu vijavyo!
ASKOFU SHOO TUBU NA UTASAMEHEWA
View: https://www.youtube.com/watch?v=vHYWarHQk78
Moderators hii siyo ya kufuta. Ni habari inatugusa wote na vizazi vyetu vijavyo!
ASKOFU SHOO TUBU NA UTASAMEHEWA
View: https://www.youtube.com/watch?v=vHYWarHQk78
Mzee,Yes,
Uroho wa vipande vya fedha na tamaa za kimwili, usali na unyang"anyi wa wake za watu ndicho hasa kilimfanya afukuzwe upadre ..
Na kwahivyo hapo ni kama anajisema mwenyewe tu.
si unajua tena Nyani haoni kundule 🐒
anavyovifanya nje ya upadre ambavyo mapadre hawaruhusiwi kuvifanya ndivyo anavyofanya. unahitaji credible sources gani tena gentleman?Mzee,
Una cridible source za kwanini Dr.slaa alitoka upadre ??!
Au unaweka mahaba na chuki binafsi na wapinzani?!