Pre GE2025 Dkt. Slaa amvaa mazima Askofu Shoo amwambia "Kuwa na misimamo"

Pre GE2025 Dkt. Slaa amvaa mazima Askofu Shoo amwambia "Kuwa na misimamo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hana hiyo credibility, ndio maana hata Chadema kwenyewe hawamtaki. Aliwahi kuongelea Shambulio la Lissu? Kwa kuwa alikuwa anakula, atulie na wenzake wale.

Point ni kama anachokisema kuhusu Dr. Shoo sijui Askofu Shoo ni kweli ama siyo kweli.
 
Huyu mzee anamvaa Shoo yeye akiwa kama nani?Je hapa Tanzania hairuhusiwi kutamka na kusema unachokitaka?

Huu ni upumbavu na upuuzi kwa huyu huyu mzee. Inaonekana amechoka kiakili kabisa. Kila mtu anao Uhuru wa kusema ambacho anakitaka. Mbona yeye alimuunga mkono JPM. Hakuna aliyemdhiaki, labda vijana wachache wa cdm ndio walimtukana.Kwa kuwa nao pia ujiona kuwa wapo makini na sahihi kila wakati.Lakini ukweli ni kuwa hawapo sahihi.

Na pia,democracy haiitaji kuwazuia watu kutoa mawazo Yao. Itakuwa ni ukosefu wakili.
 
Alicho eleza Dr. Slaa ni ukweli mtupu na ni wachache Sana wamewai kuusema.

Katumia lugha ngumu zaidi pia kumzungumzia kupotea kwa kina SOKA na wenzake

Kazungumzia kwa uchungu na mambo mengi ya kitaifa na ustawi wa watanzania wote kwa ujumla.
 
Moderators hii siyo ya kufuta. Ni habari inatugusa wote na vizazi vyetu vijavyo!

ASKOFU SHOO TUBU NA UTASAMEHEWA


View: https://www.youtube.com/watch?v=vHYWarHQk78

Yes,
Uroho wa vipande vya fedha na tamaa za kimwili, usali na unyang"anyi wa wake za watu ndicho hasa kilimfanya afukuzwe upadre ..

Na kwahivyo hapo ni kama anajisema mwenyewe tu.

si unajua tena Nyani haoni kundule 🐒
 
Yes,
Uroho wa vipande vya fedha na tamaa za kimwili, usali na unyang"anyi wa wake za watu ndicho hasa kilimfanya afukuzwe upadre ..

Na kwahivyo hapo ni kama anajisema mwenyewe tu.

si unajua tena Nyani haoni kundule 🐒
Mzee,
Una cridible source za kwanini Dr.slaa alitoka upadre ??!

Au unaweka mahaba na chuki binafsi na wapinzani?!
 
Mzee,
Una cridible source za kwanini Dr.slaa alitoka upadre ??!

Au unaweka mahaba na chuki binafsi na wapinzani?!
anavyovifanya nje ya upadre ambavyo mapadre hawaruhusiwi kuvifanya ndivyo anavyofanya. unahitaji credible sources gani tena gentleman?

alivyofukuzwa upadre, akaozeshwa mwanamke kwa ndoa kabisa, Lakini laana na roho ya tamaa, usaliti na tamaa ya fedha vyeo na mamlaka, ikasambaratisha ndoa, tamaa zikamkosesha madaraka na pesa imemfanya haaminiki popote hivi sasa 🐒
 
Back
Top Bottom