Pre GE2025 Dkt. Slaa amvaa mazima Askofu Shoo amwambia "Kuwa na misimamo"

Pre GE2025 Dkt. Slaa amvaa mazima Askofu Shoo amwambia "Kuwa na misimamo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viongozi wa Dini nao ni Binadamu wana mahitaji na utashi wao, ndio maana walio wakweli wanakuambia fuata maandiko matakatifu usifuate matendo ya viongozi wa Dini.
 
Moderators hii siyo ya kufuta. Ni habari inatugusa wote na vizazi vyetu vijavyo!

ASKOFU SHOO TUBU NA UTASAMEHEWA


View: https://www.youtube.com/watch?v=vHYWarHQk78

Dr Slaa ni mdini aliyebobea udini, kila anachokizungumza ni udini.
Anachuki nzito ya udini kuliko anavyochukia kifo.
Sikiliza anavyotaja uarabu waarabu uarabu nk, ni udini udini tu kumfanya samia analeta waislamu wenzake.

Dr. shoo ndiye wa kwanza kula rushwa au rushwa walianza kula wakatoliki kwenye sakata la Escrow, rushwa alokula ya ubalazi Sweden,
Rushwa ya ngono ilomuondolea upadre,

Akafie mbele
Moderators hii siyo ya kufuta. Ni habari inatugusa wote na vizazi vyetu vijavyo!

ASKOFU SHOO TUBU NA UTASAMEHEWA


View: https://www.youtube.com/watch?v=vHYWarHQk78
 
Dr Slaa ni mdini aliyebobea udini, kila anachokizungumza ni udini.
Anachuki nzito ya udini kuliko anavyochukia kifo.
Sikiliza anavyotaja uarabu waarabu uarabu nk, ni udini udini tu kumfanya samia analeta waislamu wenzake.

Dr. shoo ndiye wa kwanza kula rushwa au rushwa walianza kula wakatoliki kwenye sakata la Escrow, rushwa alokula ya ubalazi Sweden,
Rushwa ya ngono ilomuondolea upadre,

Akafie mbele
1. Huja msikiliza vema. kasema hatukatai wawekezaji, lakini wana tija?
2. Waarabu si waltukamata utumwa na kutufunga minyororo? Is thsi correct?
3. Kula rushwa ya escrow si warrant ya wengine kula ruhwa? Is this correct?
4. Rushwa ya ngono may be true (speculations anyway), lakini je kweli clip anachokisema kina mamtiki?

Mathematician kukosea hesabu za juu, si waranti kuwa kila hesabu atakayofanya atakosea
 
Back
Top Bottom