Pre GE2025 Dkt. Slaa amvaa mazima Askofu Shoo amwambia "Kuwa na misimamo"

Pre GE2025 Dkt. Slaa amvaa mazima Askofu Shoo amwambia "Kuwa na misimamo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu Padri alivunja amri ya Mungu kwa tamaa zake za mwili sijui atakuwa amekula nini?
Whatever the past, the point is: Is he telling the truth in the present discussion?
 
Brother huyu naye ni wale wale tuu.. Bado hatujasahau alichotufanyia 2015
Uko sahihi kabisa. Alitutelekeza wakati alikuwa anahitajika sana. Akaenda kwa Magufuli,
May be ameona alilolifanya 2015 kuwa naye alikengeuka.
Simuamini kabisa ila at the present anasema mantiki kubwa. ..and the like. To me what is import is: Is he telling sense at present?
 
Hawa wawili ni wale wale tofauti ni nyakati na nafasi.. But at least kampasha Shoo ukweli.. Kumbe hata kiongozi mkubwa wa dini mwenye kuheshimika sana anaweza kuitumia vibaya madhabahu kwa maslahi ya vipande vya fedha? Shoo ana nafasi ya kujirudi na kutubu
 
Hawa wawili ni wale wale tofauti ni nyakati na nafasi.. But at least kampasha Shoo ukweli.. Kumbe hata kiongozi mkubwa wa dini mwenye kuheshimika sana anaweza kuitumia vibaya madhabahu kwa maslahi ya vipande vya fedha? Shoo ana nafasi ya kujirudi na kutubu
Alipokuwa upande ya SACCOS mbona hamkushupaza sauti?
 
He was (Dr, Shoo) siding with JUSTICE and deserved to be sided with by then!
What sort of justice? Do you believe CDM stands for justice?if so ,how? greatull if you could provide clarity.
 
Brother huyu naye ni wale wale tuu.. Bado hatujasahau alichotufanyia 2015
Alipingana na ukweli ,nyie si mlisema Lowassa alikuwa mwizi na anastahili kuoigwa mawe?Dr Slaa ni msomi wa kiwango cha juu asingeweza kula matapishi ya chama
 
Hawa wawili ni wale wale tofauti ni nyakati na nafasi.. But at least kampasha Shoo ukweli.. Kumbe hata kiongozi mkubwa wa dini mwenye kuheshimika sana anaweza kuitumia vibaya madhabahu kwa maslahi ya vipande vya fedha? Shoo ana nafasi ya kujirudi na kutubu
That was and still is my point. Asante kwa kuiweka vizuri
 
Hospital ni huduma watu watachagua waende ya binafsi au ya serikali huyu Slaa asitake kulalia upande wa kanisa ambao unafanya biashara za huduma za hospital tunahitaji huduma zaidi za hospital haijalishi zitakuwa ngapi ndani ya wilaya au mkoa,kwanza hizo hospital za makanisa zinatakiwa zitoe huduma sio kutengeneza faida ya fedha sio malengo ya Wazungu wanaofadhili hayo makanisa sio kutengeneza faida ni uroho tu mijitu meusi
 
Sio lazima kuonyesha ujinga wako humu ,kutwa nzima 24/7 unakesha kwa mtandao huu kujifanya unazo kuliko kiumbe mwingine yoyote hapa duniani.
Ulitaka Shoo ameongolee Mzee Mbowe ?
Dada angu nakuheshimu sn lakini kama unanihitaji nakukaribisha
 
Back
Top Bottom