Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Hivi Balozi Hana kinga ya kutoshitakiwa?
Uhaini hauna kinga,unazani Mama yuko kama Magufuli aliwapuuza kina kinana na kundi lake,angeaamua angewapa kesi ya Uhaini bila shida na ushahidi uko ubaoni, unazani Nape mjinga kupiga magoti kwenye viwanja vya Ikulu kuomba msamaha kutoka kwa Mwendazake!? Kinana mwenyewe alikimbia Nchi kwa muda baada ya ule upuuzi wao wa Waraka!!
 
Hii nchi imeanza kuzeeka kwann hatuna unit wananchi hofu tunazopewa ndizo zinafanya kukosa umakini wa mafikirio zaidi jeshi la polisi Lima ukubwa gani wakuzidi wananchi kutuzuia tutapoamua jambo nchi ni ya wananchi sio viongozi wazalendo wa nchi kufikishwa mahakamani sio jmbo jema. Sana
 
mapolisi utayalaumu bure! yenyewe ni kupewa maelekezo tu na hutekeleza bila kuruhusiwa kuhoji. The police force is there to protect the interests of the ruling class. ni mambumbumbu flani ndio maana hata Huwa hawawezi kudai masilahi yao.

adui mkuu wa taifa letu ni wanasiasa ma puppet ambao huwa na masilahi binafsi, wanatumiwa na mataifa ya nje kuhujumu taifa.

ma nchi ya kijinga haya yanakaribia kufanana na kuzimu


JESUS IS LORD
 
Ila huyu mzee acha ccm wamsomeshe namba hayo ni malipo ya kile alichokifanya yeye na mwenzake Lipu-mbaa 2020
 
Sio mole anapandikizwa huko?

Kama nakumbuka alituaminisha kwamba aliagizwa na maafisa usalama wengi aseme yale aliyokua anayasema... au mm sikumuelewa.
Wewe mwongo.

Alisema kuna watu 18 viongozi wa Serikali na CCM wamemuwa wakimpigia simu kumwambia kuwa watu waendelee kudai bandari zao, wao kutokana na nafasi zao Serikalini, hawawezi kutamka chochote.
 
kwanza nijibu Zanzibar ni nchi au NI mkoa!?
KAMA ukijibu ni nchi Basi Tanganyika ipo , na Kama ww sio mzanzibar Basi mm na ww ni watanganyika , tuungane kulinda raslimali za Tanganyika yetu. Hiyo Tanzania unayoisema ipo ki ceremonial tu .
 
Maguvu ya nini kwenye mambo ya kutumia akili?.ila slaa analipa malipo ya usaliti
 
Kupigania mali za Taifa ndio Uhaini ?
 
Haya yanayoendelea kufanyika Tanzania Wajukuu zetu watakuja kuyakojolea makaburi yetu,Kila kiongozi anajiuliza atapata lini nafasi ya juu zaidi ili aendelee kutunisha mfuko wake...Ugumu wa maisha tulio nao hadi sasa umesababishwa na mikataba ya Ovyo iliyosainiwa na viongozi waliopita kabla..

Rasilimali zetu ngapi zinachukuliwa na kusafirishwa moja kwa moja bila kuleta pato kwa Taifa na hatusemi kitu,,,Watu husema jambazi mwenye silaha akikuvamia,wewe fanya tu anachosema ili uyanusuru maisha yako,Tukubali tu kwamba tayari tumefeli kuitetea Nchi yetu,asilimia karibu 98 ya Raslimali zilizopo nchini sio zetu(Zimebinafsishwa),Tukae tu kimya kunusuru maisha yetu,mifano ndo kama hii tunayoiona,kila anayejaribu kusimama kutetea taifa anakatwa Miguu ili kututisha tulioko nyuma yake...

Nchi yetu hii kujifanya Hero(Shujaa) wa Taifa,,unapotea na hauchukui muda unasahaulika.....na kweli Tunamkumbuka mzee
 
Nenda kafie mbali, watu wa aina yenu ndio watumwa mnaotafutwa karne hii.

Hovyo Kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…