Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Wanawapeleka Mbeya kuwatumia majaji wale wale waliotupa kesi.....
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

----
Update

Wakili wa Dkt. Slaa amtafuta
Baada ya kutokea kwa tetesi za Dkt. Slaa kusafirishwa na kuhamishiwa Mbeya JamiiForums imewasiliana na Wakili wake Dikson Matata ili kupata taarifa hii ambaye naye amesema:

Hizi tetesi zinaweza kuwa kweli kwasababu:

1. Walienda Oysterbay hawajamkuta, Mkuu wa kituo akawaambia amepelekwa Mbweni.

2. Wameenda Mbweni pia hawajamkuta.

Aidha, alipoulizwa kuhusu hatua gani itafuata baada ya kutopatikana kwa Dkt. Slaa Wakili Matata amesema:

Wakishindwa kukupa ushirikiano unaenda mahakamani kufungua maombi ya kulazimisha aletwe mahakamani na polisi (habeas corpus)

Ni maombi ambayo mahakama inalazimisha jeshi la polisi kumleta mtuhumiwa mahakamani ili awe dealt with kwa mujibu wa sheria.
Safi sana, akaungane na watuhumiwa wenzake wa uhaini.
 
Unaweza weka ushahidi wa hili hapa jukwaani?
Samia siyo Magufuli alyewasamehe kina Nape na kundi lake la kina Mzee kinana! Kina Dr Slaha ndiyo by by hiyo!! "Ukinizingua,tunazinguwana" by Samia!! ndiyo maana yake hiyo!!
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

----
Update

Wakili wa Dkt. Slaa amtafuta
Baada ya kutokea kwa tetesi za Dkt. Slaa kusafirishwa na kuhamishiwa Mbeya JamiiForums imewasiliana na Wakili wake Dikson Matata ili kupata taarifa hii ambaye naye amesema:

Hizi tetesi zinaweza kuwa kweli kwasababu:

1. Walienda Oysterbay hawajamkuta, Mkuu wa kituo akawaambia amepelekwa Mbweni.

2. Wameenda Mbweni pia hawajamkuta.

Aidha, alipoulizwa kuhusu hatua gani itafuata baada ya kutopatikana kwa Dkt. Slaa Wakili Matata amesema:

Wakishindwa kukupa ushirikiano unaenda mahakamani kufungua maombi ya kulazimisha aletwe mahakamani na polisi (habeas corpus)

Ni maombi ambayo mahakama inalazimisha jeshi la polisi kumleta mtuhumiwa mahakamani ili awe dealt with kwa mujibu wa sheria.
Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga
 
Rais Samia rais aliyefanikiwa kugawanya Tanzania kwa misingi ya UDINI akishirikiana na waarabu. Rais aliyefanikiwa kuporomosha misingi yote aliyoiacha baba wa taifa. Laana imtafune
Hiyo misingi alioiacha huyo baba wa taifa ndio hiyo hiyo anayoifata huyo Raisi aliepo Mamlaka Makubwa ya Raisi na kumpa kinga ya kutoshitakiwa ni matokea ya Katika aliotuachia huyo baba wa taifa katiba tunayo tumia ni ile ile toka enzi za nyerere au wewe hufahamu
 
Polisi kazi yao ni kukamata tu, DPP ataamuwa kama wana kesi ya kufikishwa mahakamani au hapana. Mahakama itaamuwa kama ni wahaini kweli au la.

Sisi kwa sasa tusubiri shria zifate mkondo wake.
Nakazia hapo kwa police! Police anakamata na kupeleleza shauri lote pamoja na kukusanya ushahidi wote wa shauri,na Kisha hupeleka taarifa zake zote kwa DPP, na DPP akiwa Kama Wakili wa Jamuhuri atapitiaa kazi yote ya uchunguzi uliofanywa na police,na akiona Kama upelelezi una mashiko Jalada linapelekwa Mahakamani kwa Mashitaka tayari!!
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

----
Update

Wakili wa Dkt. Slaa amtafuta
Baada ya kutokea kwa tetesi za Dkt. Slaa kusafirishwa na kuhamishiwa Mbeya JamiiForums imewasiliana na Wakili wake Dikson Matata ili kupata taarifa hii ambaye naye amesema:

Hizi tetesi zinaweza kuwa kweli kwasababu:

1. Walienda Oysterbay hawajamkuta, Mkuu wa kituo akawaambia amepelekwa Mbweni.

2. Wameenda Mbweni pia hawajamkuta.

Aidha, alipoulizwa kuhusu hatua gani itafuata baada ya kutopatikana kwa Dkt. Slaa Wakili Matata amesema:

Wakishindwa kukupa ushirikiano unaenda mahakamani kufungua maombi ya kulazimisha aletwe mahakamani na polisi (habeas corpus)

Ni maombi ambayo mahakama inalazimisha jeshi la polisi kumleta mtuhumiwa mahakamani ili awe dealt with kwa mujibu wa sheria.
Maisha ya Wilbroad Slaa kisiasa na kiuzalendo yalifika Kikomo pale ambapo aliwakana wapinzani wenzake enzi za Rais John Magufuli na kukimbilia mkate wa kuwa balozi huko Canada.

Wilbroad Slaa, wakati wapinzani wanapambania demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari na Utawala Bora katika awamu hii iliyopita, yeye aliwageuka na kutugeuka watanzania hadi kufikia hatua ya kusema kwamba hakuna haja ya katiba mpya, Rais JPM aachwe ainyooshe nchi.

Kama hiyo haitoshi, kipindi wenzake wamepewa kesi za kubumba na mwendazake ambapo hata hivyo Mh Rais Samia alikuja kuzifuta yeye aliwasagia kunguni na kusema hao siyo wapinzani,ni wapinga maendeleo.

Leo hii zama zimembadilikia na anaonekana kwenda kuozea selo hakuna hata chama Cha siasa kutoka upinzani kinachohangaika nae, Wilbroad Slaa amepuuzwa kama vile ambavyo yeye aliwapuuza wenzake.

Ama hakika kuimba ni kupokezana,Unafiki,Njaa na Uchu wa madaraka wa Wilbroad Slaa na tamaa zake za fisi zimepelekea awe na mwisho wa fedheha katika siasa za Tanzania...
 
Back
Top Bottom