Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Huyo joseph kiongozi temeke ndo yule joseph yona kada wa CCM waliyemuokota ununio??? Km ndo huyo inawezekana ikawa kweli coz huyo jamaa mwaka wa sita huu analalamika ingawaje kesi yake ilikuwa kutembea na mke wa mchadema mwenzake
 
Tukuulize wafanyabiashara gani walikimbia na sasa wamerudi? Saizi Uber na Bolt wamekimbia! Nitajie kipindi cha Magu mfanyabiashara gani alikimbia kama sio kwamba wewe ndo unabwabwaja?
 
Reactions: nao
Na wewe ni pimbi tu kama pimbi wengine! Kwa hiyo kwa kuwa wewe unamshabikia mama Samia kwa kuwa muislam wenzako ndo Unafikiri watu wote wanaomkosoa ni kwa kuwa wanachuki za kidini?
 
Reactions: nao
Kupigwa risasi Lisu sio jambo la ajabu Bwana tuacheni! Kila siku jambo lile lile!
 
Dr Ulimboka alitekwa!,Mwangosi aliuawa,Dr Mvungi aliuawa,Chacha Wangwe aliuawa kuna usiri wowote hapo wewe kichwa panzi? Utakuwa umezaliwa juzi?
 
Watu badala wa mjibu Dr kwa hoja wanaanza mkejeli hii inatafsiri gani kwa wanasiasa wetu hasa vijan?
 
Huenda Slaa ameamua kiusafisha awamu ya 5 dhidi ya hizo tuhuma maana alikuwa mtumishi wake.
 
Tukuulize wafanyabiashara gani walikimbia na sasa wamerudi? Saizi Uber na Bolt wamekimbia! Nitajie kipindi cha Magu mfanyabiashara gani alikimbia kama sio kwamba wewe ndo unabwabwaja?
We mlinda legacy ya mzimu niambie wapi nimeandika kuna wafanyabiashara waliondoka sasa wamerudi!?

Mwambie huyo Slaa atutajie hao wafanyabiashara ni kina nani? Waliondoka lini? Walirudi lini?

Slaa aache njaa! Ubongo wake sasa unakoelekea, atapoteza heshima aliyokuwa nayo miungoni mwa jamii kitaifa na kimataifa!

Polisi wamkamate achunguzwe na ikibidi afunguliwe mashtaka. Kujua uhalifu na kuficha ushahidi juu ya uhalifu ni kosa kisheria!
 
Wenye akili tulijua kuwa Lissu alitaka kuadhibiwa na Mbowe.
 
Rudi huko zamani
Siku hizi humu baada ya uzi ni matusi tu. Kwani mnaomtukana huyu mzee mnakosoa hoja ipi? Zamani watu wali quote sentensi na kupangua hoja! Mbona mambo mengi kaongea kwa ushahidi mzuri tu? Au mnataka kusikia yanayowasha masikio yenu tu!
 
Kesi za kubambikiwa,
Malipo yaliyokuwa hayaendi serikalini,

Njaa na hana maisha, Yule ya kujitetea apate ugali kamuacha yatima!
Angejua angebakia Canada akipiga box. Hadhi yake ingeendana na haya anayoyaropoka sasa!

Ana kinyongo hakuwa mgombea wa urais, mamvi alimpiku!

Sikutegemea huyu babu aweza kuficha uhalifu mkubwa na wahalifu!
 
Siku hizi humu baada ya uzi ni matusi tu. Kwani mnaomtukana huyu mzee mnakosoa hoja ipi? Zamani watu wali quote sentensi na kupangua hoja! Mbona mambo mengi kaongea kwa ushahidi mzuri tu? Au mnataka kusikia yanayowasha masikio yenu tu!
Ushahidi uko wapi hapo?
 
Tunakushukuru sana Mungu kwa kutuondolea huyu Mamluki Chadema
Hao ndio walikuwa wenye chama lakini tamaa ya mwenyekiti na shekeli ,ikapoteza Dira ya chama.
Ingekuwa uongo asingeweka hadharani,ila kama mnabisha nyinyi kina Erythrocyte nendeni mahakamani mumfungulie kesi ya kuwaharibia image ya chama.

Kisha muone atakavyowaadhirisha kwa evidence.

Slaa ni mtunza Documents mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…