Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Dr Salaa ni miongoni mwa watu waliokuwa na heshima sana nchini
Katika siku za karibuni Salaa amekuwa na 'project' ya kuharibu integrity and credibility yake
Kazi ya ubalozi ni kama asali, ameshailamba na sasa anataka kuchonga mzinga.
Dr ana uhuru wa kutoa maoni, kinachosikitisha ni maoni yaliyojengwa juu ya chuki
Chuki imeutawala moyo wake hata kufikia mahali ukweli anauona ni sumu kuliko chuki aliyobeba
Kuhusu TL , swali hilo anaulizwa mara nyingi na kila anapojibu wasomaji wanabaki ''WHAT?
''Waandishi'' humuuliza ku'push agenda bila kujua au kwakujua anafanya kile kilichokusudiwa
Anamsema TL kwa kuonyesha mfano wa 'Chadema walivyowahi kudhuriana'' .
Fact aliyo nayo ni kuambiwa na red brigade aliyekataa kumwambia kabla.
Dr Salaa anamaanisha tukio la TL kupigwa risasa lina utata ''hawezi'' kulizungumzia huku akiwa tayari kalizungumzia kwa tuhuma za red brigade. Nafsi inamsuta na anajificha ficha! anajua anachosema si kweli kina maumivu kwa Tundu Lissu na Rais wema duniani, anazunguka zunguka
Kila mtu anajua nani alifanya nini. CCM wanaomba maridhiano wasiyosema ni ya nini
Dr Slaa anajua masaa machache kabla ya TL kupigwa risasi JPM alisema nini
Mr Slaa anajua Camera zimeondolewa , Walinzi waliondolewa na hakuna uchunguzi
Hata waliojaribu kwenda kumsalimia TL baada ya risasi lukuki mwilini waliona cha mtema kuni.
Anajua matibabu ya TL yalizuiwa kwa makusudi
Badala ya kueleza mfano wa kipuuzi aliokutana nao Padr Slaa ange address controversies ambazo serikali haiwezi kuzieleza.
Tundu Lissu, Mhanga, anasema wazi waliopanga na waliotekeleza. Hakuna anayepinga hilo.
Dr Slaa anaweka doubt kwamba TL alishambuliwa kwa risasa.
Bwana Slaa amefikia kiwango cha chini sana kimaadili '' moral decay' kujidhalilisha
TL ni mlemavu , anaishi kwa maumivu ! Dr Salaa alitoroka kwasababu anawindwa.
TL hakuwindwa bali anaishi majeraha ya kuwindwa. TL ana makovu mwilini ana risasi imebaki
Dr Slaa anaamini kuna ufeki katika hilo, na kwamba, pengine ni wenzake! hatafuti fact tena
Dr Slaa unachokifanya kinakuondolea thamani ya utu., kwamba Uhai wa mwanadamu unautweza na kuuweka katika mizani na matamanio ya nafsi yako! upate mkate kwa kudhalilisha Utu.
Jaribu kuushinda ubinafsi ili uutukuze UTU! Uamini katika ubindamu si nafasi au teuzi!
Dr Slaa ukifungua mdomo jitathmini! sidhani kama umefikia kiwango hicho!
JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Katika siku za karibuni Salaa amekuwa na 'project' ya kuharibu integrity and credibility yake
Kazi ya ubalozi ni kama asali, ameshailamba na sasa anataka kuchonga mzinga.
Dr ana uhuru wa kutoa maoni, kinachosikitisha ni maoni yaliyojengwa juu ya chuki
Chuki imeutawala moyo wake hata kufikia mahali ukweli anauona ni sumu kuliko chuki aliyobeba
Kuhusu TL , swali hilo anaulizwa mara nyingi na kila anapojibu wasomaji wanabaki ''WHAT?
''Waandishi'' humuuliza ku'push agenda bila kujua au kwakujua anafanya kile kilichokusudiwa
Anamsema TL kwa kuonyesha mfano wa 'Chadema walivyowahi kudhuriana'' .
Fact aliyo nayo ni kuambiwa na red brigade aliyekataa kumwambia kabla.
Dr Salaa anamaanisha tukio la TL kupigwa risasa lina utata ''hawezi'' kulizungumzia huku akiwa tayari kalizungumzia kwa tuhuma za red brigade. Nafsi inamsuta na anajificha ficha! anajua anachosema si kweli kina maumivu kwa Tundu Lissu na Rais wema duniani, anazunguka zunguka
Kila mtu anajua nani alifanya nini. CCM wanaomba maridhiano wasiyosema ni ya nini
Dr Slaa anajua masaa machache kabla ya TL kupigwa risasi JPM alisema nini
Mr Slaa anajua Camera zimeondolewa , Walinzi waliondolewa na hakuna uchunguzi
Hata waliojaribu kwenda kumsalimia TL baada ya risasi lukuki mwilini waliona cha mtema kuni.
Anajua matibabu ya TL yalizuiwa kwa makusudi
Badala ya kueleza mfano wa kipuuzi aliokutana nao Padr Slaa ange address controversies ambazo serikali haiwezi kuzieleza.
Tundu Lissu, Mhanga, anasema wazi waliopanga na waliotekeleza. Hakuna anayepinga hilo.
Dr Slaa anaweka doubt kwamba TL alishambuliwa kwa risasa.
Bwana Slaa amefikia kiwango cha chini sana kimaadili '' moral decay' kujidhalilisha
TL ni mlemavu , anaishi kwa maumivu ! Dr Salaa alitoroka kwasababu anawindwa.
TL hakuwindwa bali anaishi majeraha ya kuwindwa. TL ana makovu mwilini ana risasi imebaki
Dr Slaa anaamini kuna ufeki katika hilo, na kwamba, pengine ni wenzake! hatafuti fact tena
Dr Slaa unachokifanya kinakuondolea thamani ya utu., kwamba Uhai wa mwanadamu unautweza na kuuweka katika mizani na matamanio ya nafsi yako! upate mkate kwa kudhalilisha Utu.
Jaribu kuushinda ubinafsi ili uutukuze UTU! Uamini katika ubindamu si nafasi au teuzi!
Dr Slaa ukifungua mdomo jitathmini! sidhani kama umefikia kiwango hicho!
JokaKuu Pascal Mayalla Mag3