Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Kwenye equation inapowekwa pesa basi na baadhi ya maamuzi yanakua influenced na pesa.
 
Mataga utaachaje kuona mtu anayejitutuma kuitetetea legacy ya jiwe kwa kuipopoa Chadema anaishi kwa principles
Principles,my foot.
Huyu mzee nitamtetea maeneo mengi bila kupepesa. Anaishi kwa principles kitu ambacho wanasiasa wetu wengi hawana. Hata umchukie vipi, facts zake hazibadilishwi kipropaganda.
 
Zinapitia taarifa ya CAG ili kulishauri Bunge kuhusu hatua za kuchukua kuhusiana na taarifa ya CAG. Wao sio auditors. Sio kazi yao kudai risiti kutoka kwa waliokaguliwa.

Amandla...
Kamati zile huwa zinaenda kuonana na walengwa na kudai kilichokoswkana na kama kipo wanasawazisha mambo sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasisitiza katika vyama vya hovyo na vyenye wafuasi wenye IQ ndogo nchi hii, ni chadema.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Basi itakuwa ni KWELI.
kama viongozi wa chadema hawatotoka kuelezea hili Jambo SLA atakuwa mkweli.
Kuna madai been saa 8 alipotezwa na mwenyekiti Sasa wakikaa kimya HAIJENGI PICHA NZURI
Sasa Slaa si ndiye anayejua!! Kwanini asiitwe akahojiwa?
 
Kawaulize Polisi wewe mfuasi wa Jiwe, hao ndio wana mamlaka na nyenzo za uchunguzi.
HOJA UPINGWA KWA HOJA SIO MATUSI WALA KEJELI.
Nani alimteka na kumtesa Joseph?
Hilo lisipite hivi hivi
 
Tena ushahidi aupelekee chombo husika, ampeleke Yule red brigade aliyeshiriki kumuumiza mwenyekiti wake!

Anatafuta Kiki! Uraisi asahau hawezi kuupata! Hajawahi kuwa na msimamo yupo yupo tu anaruka ruka kama bisi kwenye mafuta ya Moto!
Ushahidi uko wapi hapo?
 
Rudi huko zamani
Hakika aende huko zamani, huku kwenye usasa mpaka credibility ya mtoa hizo hoja Tunaangalia, personal interests tutaziangalia pia!

Slaa, anatafuta jambo! Ili azungumzike tena Kwa watanzania, bahati mbaya, njia anayopitia ilishapitwa na wakati!
 
Kuna msemo"Siasa ziweke kwenye mapafu usiziweke moyoni" maana kwenye mapafu kama huzitaki unapumua tu zinatoka,moyoni zitakuua kwa presha
 
Ni Mdini Mimi sio mwanasiasa. Na hua najua kabisa hata maofisini Kuna watu ni wadini. Hata akiingia mtu amevaa kanzu anamchukia bila sababu. Ni aina ya Slaa. Kuna wakati watu walikua wanachukiwa TU Kwa kufuga ndevu. Lakini tunamshukuru Mungu Sasa kufuga ndevu imekua fashion Kwa watu wote Duniani isipokua tu Wachima mana wengi hata ndevu hawana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Slaa kamwe hawezi kumsifia Kiongozi asiye wa dini yake.ndiyo hulka aliyo nayo. Ni watu wanaoamini kuwa uongozi unatokana dini yake bila kujua kuwa uongozi ni kipaji.
Hivi unaamini kabisa kuwa Zito anakosea kuchambua ripoti ya CAG.?

Hivi huoni kuwa Kuna rushwa kubwa sana inatolewa na wale waliokuwa kwenye serikali ya awamu ya 5 ili wasije wakachunguzwa ?
Wanamtumia Marehemu Rais aliyepita kama chambo Cha kutafuta huruma.

Serikali ya Awamu ya Tano ilikua na watendaji ambao mpaka Sasa wapo Sasa Kwa Nini wasichunguzwe kama walioiba au hawakuiba. Magufuli hakuwa anatoa VISA , Magufuli hakuwa anafanya kazi BENKI KUU, MAGUFULI HAKUWA ANAJEMGA BARANARA. Magufu hakuwa anafanya kazi bandarini. Sasa Kwa Nini wanapoteza mada Kwa kusema kuwa hatukubali Magufuli achafuliwe. Waliomchafua ni wale aliowaamini na kiwapa nafasi wakafanya ufisadi. Hawa wajiandae TU kuwajibika sio kujifanya wanalinda legacy ya MAGUFULI huku wakiwa wamefuja Mali za umma.
Umenena vyema. Mimi huwa nafuatilia chambuzi za Zitto, huwa zinatufungua macho. Pia Zitto hufanya uchambuzi wake baada ya ripoti kuingia Bungeni na CAG kuziweka hadharani kwa mujibu wa sheria. Sasa Dr Slaa anasema CAG ameingia kwenye details za ripoti, hapa sijui Dr hafahamu kwamba hizo ripoti zipo kwenye mitandao? Alitaka CAG awafiche wananchi wasijue nini kipo kwenye ripoti kwa kuandika ripoti ambazo hazina details?

Nimesikiliza chambuzi mbalimbali na kusoma ripoti za CAG kwenye mtandao; hadi sasa ninesoma ripoti tatu na sijaona mahala popote CAG amemtaja JPM, nimefanya search kwenye ripoti kuona kama kuna jina Pombe ama Magufuli sijaona. Hivyo kama unavyosema kuna watu wanatumia jina la JPM kutaka kukwepa sheria.
 
Huyu padre aliyekana kiapo chake na kumnyang'anya Mahimbo mke wake siyo wa kumuamini kabisa. Na sasa kakimbiwa na yule mchumba ndiyo amekuwa mropokaji tu kama Cyprian Musiba vile apuuzwe tu amejiunga na Sukuma Gang .
Alinyang’anya naye kanyang’anywa; watoto wa town wanasema ngoma draw!!!
 
HEBU TUJADILI HII STATEMENT YA @drslaa

[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

SIZUNGUMZII SUALA LA LISSU KUPIGWA RISASI SABABU UTEKAJI ULIKUWEPOA CHADEMA
“Kuna watu wananiuliza kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi, kuwa sipendi kulizungumzia hilo kwa kuwa sita taarifa zake za uhakika.

“Nitoe mfano iliwahi kutokea huko nyuma nikiwa Katibu Mkuu CHADEMA, nililetewa taarifa za mtu wangu anaitwa Joseph, huyu alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Temeke, alitekwa saa sita usiku. Kesho yake saa sita mchana nikahitisha mkutano na waandishi wa habari nikaisema sana Serikali na Usalama wa Taifa.

“Saa nane mchana siku hiyohiyo Joseph akapatikana, alikutwa ametupwa maeneo ya Ununio ameumia sana usoni.

“Mwezi mmoja baadaye kijana wangu wa Red Brigade anakuja kwangu kuniambia yeye ndiye aliongoza kukosi cha kwenda kumteka nyara huyo mwenyekiti huyo.

“Nikauliza kwa nini hakuja kwangu akasema ‘wapo viongozi wanaojua’, nikaamua kunyamaza, ndiyo maana ninapoulizwa suala la Lissu ninasema hapana, CHADEMA kwanza wajiangalie wao ndani.

“Huyo kijana (Joseph) walivyomtupa ufukweni walijua amekufa, kumbe alikuwa hajafa labda upepo ulimpiga akaamka. Miaka kadhaa baadaye tukaanza kusikia watu wanaokotwa wamekufa ufukweni, unadhani inatoa pcha gani!

“Ukiwa kiongozi lazima uwe kunasema ukweli hata kama unaona watu wako wanakosea.
Wewe unaamini hiyo propaganda?
Mtu akiingia sisiemu anageuka hamnazo!!!
 
Alikuwa sehemu ya uhuni kama wahuni wenzake!

Je, aliripoti wapi!?
Alikaa kimya akichumia tumbo lake!
Shame. Huyu ndiyo angekuwa eti raisi!
mzee alikua hafai kua rais nadhani aliharibiwa na mshumbusi ndo maana ikawa bora lowasa
 
Back
Top Bottom