Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Ha ha ha !Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
View attachment 2670137
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
Ujinga ni sifa kama urefu na ufupi, siyo tusi.chadema kwa matusi ya rejareja apana kwa kweli
Huu ni ushakunaku..Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Au niguse ninuke,Slaa anazeeka vibaya.kale kamchezo kanakosema piga nikupige
Aisee?! Umefikia huku wewe hajat? Kweli una maslahi mapana na awamu ya sita.Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Huyo Chalamila ni mjinga Fulani uongo?Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Tukuulize wewe uliyekawepo hiyo siku munagongwa wote wewe na huyo demu wakeHuyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Umetoka saa ngapi kazini?Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Anaitwa Anna Rose Aziz.Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Usikute alikataliwa na Dr. Slaa hivyo ana hasira nayeUna.fuatilia hadi faragha zake Mzee mwenzio?
Usikute alikataliwa na Dr. Slaa hivyo ana hasira nayeUna.fuatilia hadi faragha zake Mzee mwenzio?
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
View attachment 2670137
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
Duh.........
Inaelekea sasa tumeingia katika kale kamchezo kanakosema piga nikupige![emoji3]