Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Dkt. Slaa ameongea na mwananchi baada kuondolewa hadhi ya ubalozi, Slaa amesema taarifa hizo nae ameziona kwenye mtandao lakini hajutii chochote na nchi alizotumikia wanajua walikuwa na balozi wa aina gani.
Amesema alipewa ubalozi na sasa wamechukua, hawezi kuhoji lolote. Alipoulizwa na mwandishi endapo kuondolewa ubalozi kama umehusiana na ukosoaji kwenye mkataba wa bandari, Dkt. Slaa amesema anajitambua na ataendelea kusema kweli na kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria.
Habari zaidi, soma:
Amesema alipewa ubalozi na sasa wamechukua, hawezi kuhoji lolote. Alipoulizwa na mwandishi endapo kuondolewa ubalozi kama umehusiana na ukosoaji kwenye mkataba wa bandari, Dkt. Slaa amesema anajitambua na ataendelea kusema kweli na kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria.
Habari zaidi, soma:
- Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
- Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa