Dkt. Slaa: Nitaendelea kusema ninachoamini, asema hajutii kuondolewa hadhi ya balozi

Dkt. Slaa: Nitaendelea kusema ninachoamini, asema hajutii kuondolewa hadhi ya balozi

Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Mbona alipovuliwa upadri hamkutoa povu namna hii?
 
Lakini kama tukiwa wakweli wa moyo.. Dr. Slaa pamoja na mazuri yake ya sasa kwenye hii ishu ya bandari zetu na DPW.. Lakini karma ya 2015 bado inamuandama! Shetani hana rafiki
Dingi alituzingua bigtime basi tu hatutaki kuweka visasi ila hatuwezi kusahau .
 
Hivi josefina mshumbusi yuko wapi?

1693633588878.png


Alipomvua mke wa mtu kwenye ndoa ya kanisani hakuona tabu, hili la kuvuliwa ubalozi kwake ni cha mtoto tu.
 
Sema sisi binadamu tumeumbwa kusamehe, ila Dr. kwa alichokifanya 2015 kwa Upinzani hasa CDM haikuwa sawa kabisa niwe mkweli.

Ukiwa kiongozi wa juu wa Taasisi unapoamua kwenda against taasisi yako basi huwa kuna ustaarabu wa kujiondoa na kubalia kimya ili usiijeruhi taasisi husika. Mzee hakujali hilo kabisa.
 
Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Hahaha mama Abdala.
 
Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Nyie ndio wapumbavu kwahiyo mlikua mnategemea awakenulie meno tu . Tena namshauri akaze sana wabongo ukiwachekea wanakutia jiti machoni.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
Hawa nyumbu hawawezi kukuelewa
 
Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Ila kwa Ndugai hata kama isingekua ile kauli ya mikopo but asingehudumu zaid kwa movement ile ya atake asitake!!
 
Back
Top Bottom