Dkt. Slaa: Nitaendelea kusema ninachoamini, asema hajutii kuondolewa hadhi ya balozi

Akisifia unakwaa uteuzi ,kitila mkumbo, Jerry slaa
 
Tunajuwa kabisa DR Slaa ataendelea kuongea na kuokosoa kadri ya matakwa ya wanaompa hela.

Slaa ni sawa na malaya wa Bar ya Kimboka pale Buguruni, hutoka na mwanaume yeyote atakaye mpa hela.

Kesho CCM wakimpa hela atawafagilia pia
 
Anaweza akashinda Kwa namna watanganyika walivyo mabwege.
Matanganyika sio kama wazanzibar wenzetu walio wengi wanajitambua
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Tanganyika ilipigana vita na Wajerumani, hizi habari za vita leo zinatoka wapi? Isitoshe Tanganyika ili cease ku exist mwaka 1964. Come on to your senses dude
 
Serikali ilitoa na sasa imetwaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama Abdul anazeeka vibaya
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
Mkuu Slaa yupo solo kwenye harakati zake za kupinga ufisadi hajawahi kutumia jukwaa la Chadema ila Chadema hawana kisasi naye kwani wote wanajenga nyumba moja.
 
H
 
Lakini kama tukiwa wakweli wa moyo.. Dr. Slaa pamoja na mazuri yake ya sasa kwenye hii ishu ya bandari zetu na DPW.. Lakini karma ya 2015 bado inamuandama! Shetani hana rafiki
 
Kweli nyani haoni kundule

Haoni CDM walivyomsaliti Slaa huku wakimkumbatia waliyesema Fisadi Papa.
Hata Slaa alishiriki kumleta huyo aliyemwita 'fisadi papa' ndani ya CDM ila dakika za mwisho akawageuka wenzake, hivyo hata yeye ni sehemu ya huo 'usaliti' .
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…