Mbona alipovuliwa upadri hamkutoa povu namna hii?Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Dingi alituzingua bigtime basi tu hatutaki kuweka visasi ila hatuwezi kusahau .Lakini kama tukiwa wakweli wa moyo.. Dr. Slaa pamoja na mazuri yake ya sasa kwenye hii ishu ya bandari zetu na DPW.. Lakini karma ya 2015 bado inamuandama! Shetani hana rafiki
Nje ya mada.Mbona alipovuliwa upadri hamkutoa povu namna hii?
Sisi waamini na wenye imani tumefundishwa kusameheDingi alituzingua bigtime basi tu hatutaki kuweka visasi ila hatuwezi kusahau .
Hahaha mama Abdala.Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Hii single imeshachuja tafuteni nyingineKuuzwa kwa bandari za Tanganyika ni jambo baya sana
Nyie ndio wapumbavu kwahiyo mlikua mnategemea awakenulie meno tu . Tena namshauri akaze sana wabongo ukiwachekea wanakutia jiti machoni.Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Bandari zitawatokea puani
Ila baadae msije kusema mmeibiwa kura maana tunawajua nyie huwa hamkosi sababu.fukuto la CCM kurudisha kadi limeanza. Chadema wakiwa wajanja ni muda wa kukomaa zaidi.
Hawa nyumbu hawawezi kukuelewaUnafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
Hizo bandari za Tanganyika mziache kama zilivyo. Kila ubaya utalipwaPamoja na TPA kutangaza tender lkn bado tu mmeshupalia eti bandari imeuzwa!
Nyie ni wanafikiKuna msemo wa kale kuwa mchawi mwanamke ni mbaya maradufu kuliko mchawi mwanaume.
Ila kwa Ndugai hata kama isingekua ile kauli ya mikopo but asingehudumu zaid kwa movement ile ya atake asitake!!Ila Mama Abdul ameji expose sana kwa watu wenye akili timamu...ni mtu wa visasi sana & mnafki, tukumbuke pia yalianzia kwa Ndugai.
Ye anataka kusifiwa tu hata pale anapoboronga...ndio maana wahuni wamejua mapungufu yake wanamsifia kijinga anawapa vyeo kama asante.
Jinga kabisa!.
Juzi serikali imetangaza tenda nyingine kuanzia gati no. 8 hadi 11 hapo hapo bandarini nyie endeleeni kupiga domo mama yupo kazini. Bandari zitaboreshwa tu mtake msitake.Bandari zitawatokea puani
Na nyie CCM vichwani mwenu mnafikiria wizi wa kura na uchawi tuchadema vichwani mwao wanafikiria machafuko tuh
Tunaendelea kupiga kazi.Bandari zitawatokea puani