Dkt. Slaa: Nitaendelea kusema ninachoamini, asema hajutii kuondolewa hadhi ya balozi

Hata sisi watuondolee uraia wetu tuone na wachukue vyeti vya kuzaliwa tuone .
 
Kwa hiki Rais alicho fanya, kina tufanya tuamini ile kesi ya uhaini, ili asisiwa Ikulu.
Huwezi kumfutia mtu hadhi yake ati kisa ana sema ukweli.
Hii nchi ina vitu vya ajabu sana.
 
Kwenye siasa hakuna adui au rafiki wa kudumu...

Hata CCM wapo watu kibao ambao nyuma walishawahi kuondoka CCM kwa mbwembwe na sasa wapo CCM wakiwa na vyeo au hadhi kubwa tu...
mfano ni mwenezi dar, marioo binamu
 
Kumuondolea ubalozi imethihilisha kuwa,ukiwa serikalini hata kama kuna mambo ya kipuuzi hutakiwi kusema kuwa serikaliimekosea.wanataka wasifiwe tu
Karejee kiapo chake aliapaje. Lkn haishangazi alivyunja kiapo cha upadri, akavunja cha chadema, akavunja cha Rozi Kamili, akavunja cha mshumbusi, sasa cha ubalozi.
 
Kuna mambo ya ajabu sana yanaendelea kwenye hili Taifa
 
Tuache udhaifu wa Dkt. Slaa. BW. Rostam, katika dhana ya uwekezaji wengi kama sio watu wote wanakubaliana nawe. Kitu kimoja tu umejitahidi kutokukiwekea uzito pamoja na kujaribu kukigusia juu juu, nacho ni vifungu vya mkataba vinavyoibana zaidi nchi. IGA ndio msingi wa mikataba mingine. Kama msingi ni dhaifu, yatayofuata yote hayatakuwa na tija. Hii ndiyo hoja iliyoko mezani na sio DPW kama mwekezaji.
 
Angekuwa hajutii angekaa kimya.Ujuwe hapo anajutia.Kachezea ahilingi chooni.
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
Chadema hawakumsaliti slaa kwa kumsimamisha lowassa????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…