DKT. Slaa: Rais kumuelekeza Mwanasiasa lugha ya kutumia siyo sawa, tunaingia kwenye mgogoro mkubwa

DKT. Slaa: Rais kumuelekeza Mwanasiasa lugha ya kutumia siyo sawa, tunaingia kwenye mgogoro mkubwa

Yes, ni sawa na kuwafundisha waseme kile unachopenda tu, kuwa kiongozi wa siasa, tena kwenye mfumo wa vyama vingi lazima mwanasiasa uwe na ngozi ngumu, uvumilie madongo yakizidi nawe yajibu, lakini kuwataka wapinzani waseme kile unachopenda ili wakufurahishe huo ni sawa na udikteta.

Naona amejitahidi kuwapanga anavyotaka wale wa ndani ya chama chake, toa huyu hapa weka pale, toa yule kule leta hapa, muhimu aishie huko huko kwasababu ndio mamlaka yake kama mwenyekiti wao yalipoishia, lakini asijaribu kutoka nje ya hapo kufanya kwa wengine wasio wa chama chake, huo utakuwa ni ubabe.

Good
 
Slaa ana akili sana sana, Muiraq au Mbulu akiwa na akili ni akili kweli sio ya kitoto. Hongera sana Dr Slaa naamini Rais Hassan atajifunza vitu kutoka kwako.
 
Anadhani hiyo mikutano itampa credit kwa kumsifia kama machawa wafanyavyo.
 
Huyu Jamaa Ndio alikua mtu pale Chadema lakini mapungufu yake walisema mke anamfungia nje nikamuona hatoshi
 
Huyu Mzee anawezakuwa na hoja lakini alitangaza kung'atuka na kuachana na mambo ya siasa.

Kwa Sasa anaonekana kama anatapatapa Kwa maslahi yake kukomeshwa.
Dkt Slaa alisema anachana na siasa za majukwaani! Akiitwa kuhojiwa kuhusu mwenendo wa siasa ataenda na atatoa mawazo yale
 
Huyu Mzee anawezakuwa na hoja lakini alitangaza kung'atuka na kuachana na mambo ya siasa.

Kwa Sasa anaonekana kama anatapatapa Kwa maslahi yake kukomeshwa.
Hakuna wakatimkatika historia ambapo mwasiasa aliwahi kuaminika au kutabirika.
Siku zote uelekeo wao hutegemeana nanuelekeo na maslahi binafsi.
 
Huyu Mzee anawezakuwa na hoja lakini alitangaza kung'atuka na kuachana na mambo ya siasa.

Kwa Sasa anaonekana kama anatapatapa Kwa maslahi yake kukomeshwa.
Anatoa mawazo yake kikatiba
 
Hakuna wakatimkatika historia ambapo mwasiasa aliwahi kuaminika au kutabirika.
Siku zote uelekeo wao hutegemeana nanuelekeo na maslahi binafsi.

Andiko Bora kabisa linalodumu wakati wote "usimwamini mwanasiasa yeyote"
 
Huyu Mzee anawezakuwa na hoja lakini alitangaza kung'atuka na kuachana na mambo ya siasa.

Kwa Sasa anaonekana kama anatapatapa Kwa maslahi yake kukomeshwa.
Kwa tafsiri yako "kung'atuka katika siasa" unadhani maana yake nini Mr The Monk ?

Je, ni kufumba mdomo na kunyamaza kimya kabisa...?

Au ni mtu kutojihusisha na active politics za kwenye majukwaa...?

In my opinion, la mwisho hapo ndilo linamhusu Dr Slaa na kwa uhalisia, hayupo huko...

Anachokifanya Dr Slaa ni kutoa maoni yake kama raia wengine kama unavyofanya wewe Mr The Monk..

What's wrong with that...?
 
Back
Top Bottom