Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Huyu Raisi mjanja sana kawasubiri Wanaharakati mpaka wamejaa wenyewe kama Senene halafu akawanyaka[emoji16]
Tundu Lissu alikuwa anaprovoke bila kuvuka red line[emoji38]
Wanasheria wa CCM tuonyeshe wako wapi, ili tuwe tunawaona kwenye kesi za kimataifa huko ambako serikali huwa haishindi kesi hata moja.Hawa ndio wanasheria wa chadema Haki ya Mungu [emoji1787]
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Uwe mara ngapiOna wajinga wajinga walivyojaa. Ukisema mimi ni shoga ndiyo nitakuwa shoga?
serikali ipi aliyoitaja hapo.Hii kauli inampeleka huyu Mzee Big time hivi anashikaje waya wa umeme au kwasababu umeme hauonekani?
Wezako wananyea MTONDOO wewe unaleta utaniSerikali ipi sasa?,maana haijatajwa hapo kama ni serikali ya instagramu?hio kesi haina mashiko
Yaani nyie mbwa koko kiama chenu kinakuja huyo atabaki kuwa Rais wa mpito apende asipende ni wa mpito tu. Akili zenu matope tupuWANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Sasa si waseme tu kuwa walikua wanaitania serikali isichukulie mambo kwa uzito wake basi yaishe au unaonaje King Kong III ?Mnajua jinsi serikali zinavyopinduliwa? Serikali inapinduliwa kwenye press conference au kwenye group la whatsapp? Unamjua Desire Laurent Kabila? Unajua Mu7 alivyopindua serikali Uganda? Hao walipindua kwenye press conference?
Kwa mahakama hizi zinazopewa maagizo na viongozi majizi, hiyo kesi yake hata hukumu ni tayari.Namuona Babu akibeba mitondoo kwa miaka ishirini na ushee trust me
Wapuuzi kweli hawa jamaa, halafu wanadhani tutadanganyika kwa huu uongo wao.Ilikuwa ni press conference na wamekata sehemu kubwa ya alichokuwa anaelezea ili lengo lao lifanikiwe. Kuna mtu anapanga kupindua serikali kwa kuitisha press?
Mbona unachanganya mada mzee au umechangayikiwa?Ingekuwa ni serikali iliyoko madarakani kwa uchaguzi halali ungekuwa na hoja, sio kwa uhayawani ule wa 2020.
Kwa sasa ni bora yatokee machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi maana box la kura linaishia kuingiza wezi madarakani.
Aliongea hayo akiwa wapi..,WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Angekuwa mjanja asingegawa bandari zetu kwa waarabu kwa mikataba ya hovyo ya akina Chief Mangungo
Walikuwa hawatanii, hizi serikali zinazoingia madarakani kwa kupora chaguzi, kisha kuuza mali za umma kihuni, ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi ili zikae pembeni.Sasa si waseme tu kuwa walikua wanaitania serikali isichukulie mambo kwa uzito wake basi yaishe au unaonaje King Kong III ?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Babu angeliona hilo mapemaKwa mahakama hizi zinazopewa maagizo na viongozi majizi, hiyo kesi yake hata hukumu ni tayari.
Serikali ina kina kirefu kama username yako. Atakuwa kaenda kuonesha walipoficha silaha kwajili ya kufanya mapinduzi.Dr slaa
Kapelekwa mbeya inasemekana Kwa kosa la uhaini
Uhaini ,aliupangiaje mbeya alihali anaishi dar
Dogo umekuja na marking scheme nini?
Kama umekasirika si utoke mtaani ulianzishe.Yaani nyie mbwa koko kiama chenu kinakuja huyo atabaki kuwa Rais wa mpito apende asipende ni wa mpito tu. Akili zenu matope tupu
Enough is enough. Hizo mahakama zinazolinda tawala za wezi sasa zinakaribia mwisho wake.Babu angeliona hilo mapema