imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kauacha uchungaji mwenyewe kaenda kuuvaa uhaini wacha anyooshweTeh teh teh
We mtu mbaya sana.
Unataka wambake mchungaji!.🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauacha uchungaji mwenyewe kaenda kuuvaa uhaini wacha anyooshweTeh teh teh
We mtu mbaya sana.
Unataka wambake mchungaji!.🤣🤣
Umeongea jambo la maana sana.
Chadema isitumiwe kuwa chanzo cha machafuko nchini.
Huyu Slaa anatakiwa kunyongwa haraka sana ili wengine wajifunze adabu.
-Dr slaa , sio mhaini, bali anatuhumiwa kwa kesi ya uhaini, ni mhaini mpaka itakapothibitishwa na Mahakama.Kauacha uchungaji na kuuvaa uhaini wacha anyooshwe
Atajijua mwenyewe asituletee vita kwenye Nchi yetu hii ya amani na upendo-Dr slaa , sio mhaini, bali anatuhumiwa kwa kesi ya uhaini, ni mhaini mpaka itakapothibitishwa na Mahakama.
- umesoma mkataba wa Bandari?We taahira mbona mmeulizwa mtoe ushahidi wa Bandari iliyouzwa mmembwera mbwera tu
Nyie kutukana ni ibada kwenu. We tukana lkn sisi tunamtaka huyu muhalifu akamatwe awekwe ndani.
- kwa akili Yako ndogo, umeonyesha jinsi ulivyo mbumbumbu.
- Dr slaa hawezi kunyongwa haraka kwa sababu, anayo haki ya kujitetea na kujibu tuhuma zinazomkabili, hawezi kunyongwa haraka haraka kama unavyofikiri kwa akili Yako ndogo
- Tena anayo haki ya kutetewa na Wakili/Mawakili, ana haki ya kukata rufaa Mahakama ya rufaa, na hata asiporidhishwa na uamuzi wa Mahakama ya rufaa anaweza kuomba Marejeo/Review
Maneno mazito sana kutamkwa na mtu mwenye hadhi ya Balozi. Huwa nilifahamu kuwa mtu anayepewa hadhi ya Balozi anapewa na ABC za diplomasia. Mzee huyu ovyo kabisa kutokea kwenye ulimwengu wa sasa. Hayo maneno yanamuachaje salama hata kama alikuwa anatania au ana stree za mke!WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Nyie kutukana ni ibada kwenu. We tukana lkn sisi tunamtaka huyu muhalifu akamatwe awekwe ndani.
- kwa akili Yako ndogo, umeonyesha jinsi ulivyo mbumbumbu.
- Dr slaa hawezi kunyongwa haraka kwa sababu, anayo haki ya kujitetea na kujibu tuhuma zinazomkabili, hawezi kunyongwa haraka haraka kama unavyofikiri kwa akili Yako ndogo
- Tena anayo haki ya kutetewa na Wakili/Mawakili, ana haki ya kukata rufaa Mahakama ya rufaa, na hata asiporidhishwa na uamuzi wa Mahakama ya rufaa anaweza kuomba Marejeo/Review
-unasema mtampeleka mahakamani, halafu wewe mwenyewe unatoa hukumu kuwa lazima wamnyonge? wewe ni Jaji? huoni kuwa unaingilia Uhuru wa mahakama?Nyie kutukana ni ibada kwenu. We tukana lkn sisi tunamtaka huyu muhalifu akamatwe awekwe ndani.
Tutampeleka mahakamani atajitetea lkn mwisho wa siku hana jinsi lzm wamnyonge.
Ametamka wazi kabisa kuwa km serikali itakataa kupitisha matakwa basi itemise extremely measures akaulizwa km ipi? Akajibu KUPINDUA SERIKALI.
Sasa huyu fisi wacha ao
Ulishamsikia Rais katia lake?- halafu kesi haisikilzwi na majaji ni jaji mmoja tu, except kesi za kikatiba tu
- tumia akili kidogo, kesi ya uhaini anayetaka kupinduliwa ni Rais, na huyo impliedly ndio mlalamikaji,
- halafu kesi haisikilzwi na majaji ni jaji mmoja tu, except kesi za kikatiba tu
- tumia akili kidogo, kesi ya uhaini anayetaka kupinduliwa ni Rais, na huyo impliedly ndio mlalamikaji,
Labda kapata fungu la Mwarabu.
- anayetaka kupinduliwa ni nani? ni Rais au ni Nani?Ulishamsikia Rais katia lake?
Nadhani hujaelewa kipi kinaongelewa hapa.-unasema mtampeleka mahakamani, halafu wewe mwenyewe unatoa hukumu kuwa lazima wamnyonge? wewe ni Jaji? huoni kuwa unaingilia Uhuru wa mahakama?
-Kwani kupinga mipango ya serikali ni kosa?
Kumbe nyie mna tabia ya kupindua hivyo vitimoto na maharage kila mara sio?Kumpindua Rais siyo kitu rahisi kama kupindua Sahani iliyojaa Makange ya Kitimoto. Kuweni serious sometimes
Serikali.- anayetaka kupinduliwa ni nani? ni Rais au ni Nani?
Hebu kesho asbh amka nenda pale mtaa wa Congo sema kwa sauti kwamba utapindua nchi uone kitakachokukuta.Eti nchi inapinduliwa kwa maneno! Huyu mama ana inferiority complex mbaya sana.
-hapo bado haitoshi kuthibitisha Uhaini,Nadhani hujaelewa kipi kinaongelewa hapa.
Dr Slaa ametamka wazi kuwa kama serikali haitokubali matakwa ya watu lzm zitumike "EXTREMELY MEASURES" Akaulizwa na muhandisj wa habari " EXTREMELY measures kama zipi? Slaa akajibu "KUPINDUA SERIKALI.
Hio kauli peke yake hata kabla ya kuitekeleza tayari ni KOSA LA UHAINI.
NA Kosa la UHAINI Tanzania HUKUMU YAKE NI KIFO.
Sio jela tena.
Someni sheria za nchi kabla ya kulalamika.