Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

watu weusi tunashida sana..

Hoja zao juu ya mkataba wa dp world zijibiwe kwa hoja sio mabavu na mkono wa chuma. Nchi ni yetu wote, nia yao IPO clear kabisa ni kujaribu kulinda rasilimali za nchi.
Hapo sasa.
 
-hapo bado haitoshi kuthibitisha Uhaini,
-alisema kupindua serikali, kwa maandamano, na alisema yy atajiunga kwenye hayo maandamano,
- Swali ni je kuandamana ni kosa? watu wanaoandamana Kuipinga serikali/mipango ya serikali ni kosa?
-mimi Sheria nazijua kuliko wewe

-hapo bado haitoshi kuthibitisha Uhaini,
-alisema kupindua serikali, kwa maandamano, na alisema yy atajiunga kwenye hayo maandamano,
- Swali ni je kuandamana ni kosa? watu wanaoandamana Kuipinga serikali/mipango ya serikali ni kosa?
-mimi Sheria nazijua kuliko wewe
Wewe tulia nikupe darasa.
maandamano ya kutaka KUPINDUA SERIKALI ni marufuku na yyt atakae kamatwa ameshiriki na kukawa na ushahidi kuwa lengo lake ni kutaka kupindua serikali hukumu ya Tanzania ni adhabu ya KIFO.
Kama unabisha kesho kamata bango linalosema "Tunapindua serikali " uone .

We huna unachojua halafu hodari sana kutoa kashfa
 
Inaonekana hivyo kwa kweli. Sina mda mrefu hapa JF lakini naona kana kuna kikundi cha kuchafua critics wa Mh.Samia Suluhu na wanaonekana,again ni wenye muonekano wa wafiadini. This is dangerous kama wanatumiwa na watu wa Serikalini.
Hawa miaka yote ndivyo walivyo, usihangaishwe nao, wameishi kwenye lindi la ujinga karibia muongo mzima.

Hata wenyewe wanaona aibu kwa huu uongo walioweka hapa, lakini wanajitoa akili makusudi kama watoto wadogo, wapuuzwe tu sio wa kuhangaishwa nao.
 
-hapo bado haitoshi kuthibitisha Uhaini,
-alisema kupindua serikali, kwa maandamano, na alisema yy atajiunga kwenye hayo maandamano,
- Swali ni je kuandamana ni kosa? watu wanaoandamana Kuipinga serikali/mipango ya serikali ni kosa?
-mimi Sheria nazijua kuliko wewe
Maandamano huwa na dhamira zake Kama alivyosema ,,

Shida sio kuandamana bali Shida lengo la kuandamana ,, Kwa maneno ya Dr. Slaa lengo la hayo maandamano ni "Kuipindua serikali" hapo ndipo lilipo kosa la "UHAINI"

Dhamira pekee ya " KUIPINDUA SERIKALI" inatosha kuthibitisha kosa la "UHAINI" bila kujali njia mliyopanga kuitumia kutekeleza hiyo nia yenu ya " KUIPINDUA SERIKALI"
 
Dr Slaa na wenzake wameingia pabaya... hii ishu watasonga nayo kwa muda mrefu kuliko hata masheikh wa uamsho. Kuna uwezekano mama akamaliza uongozi wake 2030 bado kina Slaa wako jela. Nampongeza Sultani Mbowe kuwa na control ya hisia zake. Anajichunga mno kuropoka. Namwonea huruma kijana mwenzangu Mdude kuingia kwenye haya matatizo. Bora hata Slaa ashakula maisha sana.
 
Nyie kutukana ni ibada kwenu. We tukana lkn sisi tunamtaka huyu muhalifu akamatwe awekwe ndani.
Tutampeleka mahakamani atajitetea lkn mwisho wa siku hana jinsi lzm wamnyonge.
Ametamka wazi kabisa kuwa km serikali itakataa kupitisha matakwa basi itemise extremely measures akaulizwa km ipi? Akajibu KUPINDUA SERIKALI.

Sasa huyu fisi wacha ao
Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe kama watoto wadogo.
 
Wewe tulia nikupe darasa.
maandamano ya kutaka KUPINDUA SERIKALI ni marufuku na yyt atakae kamatwa ameshiriki na kukawa na ushahidi kuwa lengo lake ni kutaka kupindua serikali hukumu ya Tanzania ni adhabu ya KIFO.
Kama unabisha kesho kamata bango linalosema "Tunapindua serikali " uone .

We huna unachojua halafu hodari sana kutoa kashfa
- huwezi kunipa darasa, ww ndiye unatakiwa ukae ufundishwe.
-Maandamano peke yake hayaotoshi kuthibitisha Uhaini,
-unajua kuandamana ili Kuipinga mipango/mikakati ya serikali sio kosa
- Hata ukikamatwa kama alivyokamatwa Dr slaa, hawawezi kuthibitisha,
 
Nadhani hujaelewa kipi kinaongelewa hapa.
Dr Slaa ametamka wazi kuwa kama serikali haitokubali matakwa ya watu lzm zitumike "EXTREMELY MEASURES" Akaulizwa na muhandisj wa habari " EXTREMELY measures kama zipi? Slaa akajibu "KUPINDUA SERIKALI.
Hio kauli peke yake hata kabla ya kuitekeleza tayari ni KOSA LA UHAINI.
NA Kosa la UHAINI Tanzania HUKUMU YAKE NI KIFO.
Sio jela tena.

Someni sheria za nchi kabla ya kulalamika.
Kwani hukumu ya kifo si inatekelezwa jela vile vile au hujui!?
 
Maandamano huwa na dhamira zake Kama alivyosema ,,

Shida sio kuandamana bali Shida lengo la kuandamana ,, Kwa maneno ya Dr. Slaa lengo la hayo maandamano ni "Kuipindua serikali" hapo ndipo lilipo kosa la "UHAINI"

Dhamira pekee ya " KUIPINDUA SERIKALI" inatosha kuthibitisha kosa la "UHAINI" bila kujali njia mliyopanga kuitumia kutekeleza hiyo nia yenu ya " KUIPINDUA SERIKALI"
-hayo maandamano yamefanyika?
 
-hapo bado haitoshi kuthibitisha Uhaini,
-alisema kupindua serikali, kwa maandamano, na alisema yy atajiunga kwenye hayo maandamano,
- Swali ni je kuandamana ni kosa? watu wanaoandamana Kuipinga serikali/mipango ya serikali ni kosa?
-mimi Sheria nazijua kuliko wewe
Kuandamana kwa nia ya kupindua nchi? Kama unazijua sheria nenda Mahakamani kamtetee Slaa. Tofauti na hapo wewe ni kenge tu
 
- huwezi kunipa darasa, ww ndiye unatakiwa ukae ufundishwe.
-Maandamano peke yake hayaotoshi kuthibitisha Uhaini,
-unajua kuandamana ili Kuipinga mipango/mikakati ya serikali sio kosa
- Hata ukikamatwa kama alivyokamatwa Dr slaa, hawawezi kuthibitisha,
Wewe piga kelele hapa JF ila jua Dr Slaa na wenzake wameingia cha kike.
 
Kuandamana kwa nia ya kupindua nchi? Kama unazijua sheria nenda Mahakamani kamtetee Slaa. Tofauti na hapo wewe ni kenge tu
-kenge ni ww usiyejua sheria
-niende Mahakamani kwani mimi Wakili?
-mimi nakwambia hapo hawawezi kuthibitisha hilo kosa, na wanafuta hayo mashtaka.
-viwango vya kuthibitisha kosa la Uhaini viko juu, Yani hapo Kwanza lazima kuwe na kula njama, na lazima jamhuri waoneshe hizo njama walikuwa wapi,lini na kina Nani,
 
- huwezi kunipa darasa, ww ndiye unatakiwa ukae ufundishwe.
-Maandamano peke yake hayaotoshi kuthibitisha Uhaini,
-unajua kuandamana ili Kuipinga mipango/mikakati ya serikali sio kosa
- Hata ukikamatwa kama alivyokamatwa Dr slaa, hawawezi kuthibitisha,
Isome vizuri post #1
 
- kama serikali inaongozwa na hiyo KATIBA, basi mtampeleka mahakamani hiyo KATIBA ikatoe ushahidi mahakamani kama inaongea?
-serikali inaongozwa na Rais ambaye ndiye THE HEAD OF STATE,yani hata KATIBA yenyewe huijui
 
Mnamlisha maneno mzee wa watu Matackleee yenu
 
Back
Top Bottom