Dkt. Stergomena Tax: Hali ya usaIama wa mpaka wa Tanzania na Msumbiji haitabiriki

😀😀😀😀😀 nimekimbia huko ,kazi ya ujenzi saidia fundi NHC nyumba za bei nafuu hapo kwa mwamposa nimeimaliza ,kwasasa nimerudi minjingu nachoma mkaa.
 
Southern Tanzania, ni chini ya 1000km to Dar es salaam na unahitaji kuvuka mikoa miwili kufikia Dar es salaam, Mtwara na Lindi ni Miji ya Bandari.

RPF wako huko pia lakini pia kuna investment za Ufaransa huko.
Hizi sio project za week na siku mbili hapana bali ni projects za muda mrefu kwa watu wenye mipango ya muda mrefu.
M23 in DRC wako busy kidogo na wametuweka busy kidogo huko while RPF wako kusini wakilinda amani.

Nimekumbuka war of the midway, Japs Vs Yankees pale Pacific, initial fake punch ya Japs ilikuwa attacking America from Alaska.
Adui yuko mlangoni.
"I will hit at the right time and place".
Project no ________.

Huhitaji kuwa code cracker au senior officer kuelewa, bila shaka imeeleweka.
 
Wapeleke kambi huko mipakani wapungue huko Lugalo mjini na baadhi ya kambi zingine wakafanye kazi za Kitaifa...
Magaidi sio ya kupugana nayo msituni,mana gaidi anaweza kuwa hata jirani yako,hapo unachotakiwa ni mbinu za kiintelijensia kuwanasas mmoja baada ya mwingine..hasa misikitini ndio huwa ni kambi zao.
 
Mkuu funguka vzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Siri kubwa sana,kwa kinacho endelea uko.
WAPO WANAOUMIA SANA NCHI YETU KUWA NA UTULIVU HIVYO WANAPLOT UJINGA HUU, MAADUI WACHACHE WA NDANI YA TAIFA, WAKISAIDIANA NA WANNJE / IJENGWE AINA YA FENCE FULANI SIO LAZIMA KUTA, ZIPO FENCE ZA SENYENGE NGUMU KAMA ZINAZOTUMIKA AMERIKA,. KWENYE OFICIAL BOARDER KUNAKUWA NA ULINZI SAFI.
 
Tulishauri serikali usiwaachie wale magaidi wa uamsho
Ukiwaona magaidi kamwe hutaamini.
Ni wapole kwa uso na tabasamu la kwenye mashavu yao.
Subiri wakishapandisha wale wadudu wao.
Ni bora ukutane na tiger mwenye njaa hasa ukiwa kafiri kwao.
Wana liita lile jina lao pendwa, wadudu wanaojifanya wema wanapanda kichwani kufanya kazi zao halisi.
 
Magaidi sio ya kupugana nayo msituni,mana gaidi anaweza kuwa hata jirani yako,hapo unachotakiwa ni mbinu za kiintelijensia kuwanasas mmoja baada ya mwingine..hasa misikitini ndio huwa ni kambi zao.
Magaidi wa Msumbiji wapo msituni wanavamia vijijiji na kuua raia au ukipita na gari wanakuzuia na kukuteka huko...wiki kadhaa zilizopita wamevamia baadhi ya vijiji huko Msumbiji ndio maana Waziri katoa kauli hii..
 
Kambi zimewekwa mkuu usalama upo wa kutosha hao magaidi hawawezi kuvuka kuja huku, coz huku unatembea kama ulaya tu baada ya kilometa 1 ukaguzi wa vitambulisho na hutakiw kuwa nacho kimoja
Wapeleke kambi huko mipakani wapungue huko Lugalo mjini na baadhi ya kambi zingine wakafanye kazi za Kitaifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…