Southern Tanzania, ni chini ya 1000km to Dar es salaam na unahitaji kuvuka mikoa miwili kufikia Dar es salaam, Mtwara na Lindi ni Miji ya Bandari.
RPF wako huko pia lakini pia kuna investment za Ufaransa huko.
Hizi sio project za week na siku mbili hapana bali ni projects za muda mrefu kwa watu wenye mipango ya muda mrefu.
M23 in DRC wako busy kidogo na wametuweka busy kidogo huko while RPF wako kusini wakilinda amani.
Nimekumbuka war of the midway, Japs Vs Yankees pale Pacific, initial fake punch ya Japs ilikuwa attacking America from Alaska.
Adui yuko mlangoni.
"I will hit at the right time and place".
Project no ________.
Huhitaji kuwa code cracker au senior officer kuelewa, bila shaka imeeleweka.