Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Kwa wasioelewa niwafungue ufahamu. Majini Ni malaika walioasi Wakatupwa Duniani pamoja na Bosi wao Lucifer . Hiyo Ndio maana ya Majini.
Soma ufunuo wa Yohana 12 yote utanielewa
Sasa NI dhahiri kuwa Huwezi tenganisha Ile Dini na Majini Hilo liko dhahiri. Sasa unaweza elewa wanamuabudu Nani. Somebody says Akifa anaenda peponi kuoa wanaweka wenye macho kama vikombe😂😂😂 Hayo yanaitwa majini mahaba Muhammad alifunuliwa na shetani. Ndio maana wakaanzia practice Duniani kuoa wanawake wengi. Sasa wengi wanajitahidi kutimiza masharti ya Dini yao Ili wakajipatie mademu huko wenye macho kama vikombe.
Hivi nikuulize wewe kama Una akili nzuri! Huo mwili ulionao ukifa tu umeuvua Je hiyo Ngono Utafanya na nini huko?
Kwa nini mnakubali kufia Kwenye dhambi Kwa uongo wa shetani. Kumbuka Shetani aliichezesha Bibilia kidogo tu Ili aanzishe kundi lake jipya la kwenda nalo Jehanam
Bibilia Inasema Shetani Ndio baba wa uongo wote Unaona uongo wote unaoongelewa huku Duniani Shetani Ndie baba wa uongo huo. Sasa alichukua Bibilia akageuza Baadhi ya maneno ambayo Ndio msingi wa Muumini akaandika cha kwake akampa Muhammad. Mfano angalia alivyocheza na Kitabu cha Mwanzo Habari za Ibrahim Kisha angalia vita yake kubwa iko Kwenye injili Hataki kabisa injili ihubiriwe amepingana nayo kwa nguvu zote hadi Leo. Hataki kabisa
Ndio maana vita ya Yesu aliileta Rohoni maana Majini nayo NI roho yanaonyeshwa cha Moto na Mnazareti. Maana Mnazareti Ndie ameukalia ulimwengu wa Roho Alienda huko kuzimu akamuambia Shetani leta funguo hizo haraka sina muda kupoteza
Shetani akampa: Akamuambia Shika Mkuu
Yesu akaingia zake Mjini Akasema Nimepewa mamlaka Yote Mbinguni na Duniani, Akawaambia wanafunzi Sasa enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.
Ni kiu yangu tuende Mbinguni pamoja Asiwepo anayepotea. Na Yesu Ndie njia kweli na uzima. Wokovu NI sasa baada ya kufa NI hukumu tu Hakuna kuoana tena huo ni uongo wa shetani. Mpe Yesu Maisha
Yeye Ndie njia kweli na uzima
Asante.
Hakuna malaika walioasi, malaika wameumbwa kwa nuru na majini wameumbwa kwa giza la kivuli cha moto, majini ni majini na malaika ni malaika, na wao wameumbwa kuwa watiifu na majini wamepewa utashi kama sisi, ukitaka tii ukitaka asi na moto uko mbele yako.
 
Acheni unafiki mizimu ni majini.....sasa km sio makabila yote yanaamin mizimu sasa kwann muogope majini
 
Kwa wasioelewa niwafungue ufahamu. Majini Ni malaika walioasi Wakatupwa Duniani pamoja na Bosi wao Lucifer . Hiyo Ndio maana ya Majini.
Soma ufunuo wa Yohana 12 yote utanielewa
Sasa NI dhahiri kuwa Huwezi tenganisha Ile Dini na Majini Hilo liko dhahiri. Sasa unaweza elewa wanamuabudu Nani. Somebody says Akifa anaenda peponi kuoa wanaweka wenye macho kama vikombe[emoji23][emoji23][emoji23] Hayo yanaitwa majini mahaba Muhammad alifunuliwa na shetani. Ndio maana wakaanzia practice Duniani kuoa wanawake wengi. Sasa wengi wanajitahidi kutimiza masharti ya Dini yao Ili wakajipatie mademu huko wenye macho kama vikombe.
Hivi nikuulize wewe kama Una akili nzuri! Huo mwili ulionao ukifa tu umeuvua Je hiyo Ngono Utafanya na nini huko?
Kwa nini mnakubali kufia Kwenye dhambi Kwa uongo wa shetani. Kumbuka Shetani aliichezesha Bibilia kidogo tu Ili aanzishe kundi lake jipya la kwenda nalo Jehanam
Bibilia Inasema Shetani Ndio baba wa uongo wote Unaona uongo wote unaoongelewa huku Duniani Shetani Ndie baba wa uongo huo. Sasa alichukua Bibilia akageuza Baadhi ya maneno ambayo Ndio msingi wa Muumini akaandika cha kwake akampa Muhammad. Mfano angalia alivyocheza na Kitabu cha Mwanzo Habari za Ibrahim Kisha angalia vita yake kubwa iko Kwenye injili Hataki kabisa injili ihubiriwe amepingana nayo kwa nguvu zote hadi Leo. Hataki kabisa
Ndio maana vita ya Yesu aliileta Rohoni maana Majini nayo NI roho yanaonyeshwa cha Moto na Mnazareti. Maana Mnazareti Ndie ameukalia ulimwengu wa Roho Alienda huko kuzimu akamuambia Shetani leta funguo hizo haraka sina muda kupoteza
Shetani akampa: Akamuambia Shika Mkuu
Yesu akaingia zake Mjini Akasema Nimepewa mamlaka Yote Mbinguni na Duniani, Akawaambia wanafunzi Sasa enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.
Ni kiu yangu tuende Mbinguni pamoja Asiwepo anayepotea. Na Yesu Ndie njia kweli na uzima. Wokovu NI sasa baada ya kufa NI hukumu tu Hakuna kuoana tena huo ni uongo wa shetani. Mpe Yesu Maisha
Yeye Ndie njia kweli na uzima
Asante.
Mbona kama story zako tu unamwagika hapa bila hata ushahidi wa aya
 
Mwanazuoni ? nani alimpa title ya mwanazuoni ? Alisomea chuo gani kinachojulikana duniani kwa elimu ya dini ya kiislamu? University of madina?, dammaj ? Al azhar ? E.t.c

Kingine uislamu unaenda kwa dalili na dalili tunazipata kutoka kwenye quran na sunna pekee nje ya hapo ni uzushi, kikawaida inatakiwa kumtegemea na kumuomba Allah( the all knowing, all powerful) kwenye kila jambo letu wanaadamu majini ni viumbe vya Allah (the almighty) kama tulivyo binadamu , malaika na wengineo .

Nao wanamtegemea Allah( the almighty) kwenye kila kitu , sasa ni ajabu kwa binadamu kutegemea kiumbe kinachokufa kama yeye huu ni ujinga na unatakiwa ukemewe kama aya hii hapa inavyojieleza kwenye surat jinni.

Al-Jinn 72:6

وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ ٱلْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ ٱلْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

"Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi."

Mwisho wa kunukuu.

Majini wanaelezea kwamba walikuwapo wanaume katika binadamu waliokuwa wanajikinga kwa wanaume wa kijini na hivyo wakajikuta wanazidisha madhambi kwa maana haitakiwa kutaka kumtegemea kiumbe ila Allah(the almighty) .


Ushauri
Si kila anayejiita shaikh/mwanawachuoni huwa anasifa hiyo kwanza kwa Tanzania waliosoma Elimu ya dini kwa kufuata misingi ya salafi swaleh ambao ni msingi bora kabisa ni wachache wengi waliobaki ni wanafuata uzushi bila ya kutaka kujifunza na wanajikuta wanawapotosha watu pamoja na kujipotosha wao wenyewe kama ilivyonukuliwa kwenye hadithi hii hapa.

Sahihi muslim , 2673

حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا جَرِيرٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، سَمِعْتُ عَبْدَ، اللَّهِ بْنَ عَمْرِو بْنِ الْعَاصِ يَقُولُ سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ ‏ "‏ إِنَّ اللَّهَ لاَ يَقْبِضُ الْعِلْمَ انْتِزَاعًا يَنْتَزِعُهُ مِنَ النَّاسِ وَلَكِنْ يَقْبِضُ الْعِلْمَ بِقَبْضِ الْعُلَمَاءِ حَتَّى إِذَا لَمْ يَتْرُكْ عَالِمًا اتَّخَذَ النَّاسُ رُءُوسًا جُهَّالاً فَسُئِلُوا فَأَفْتَوْا بِغَيْرِ عِلْمٍ فَضَلُّوا وَأَضَلُّوا ‏"‏ ‏.‏

Translation

Verily, Allah does not take away knowledge by snatching it from the people but He takes away knowledge by taking away the scholars, so that when He leaves no learned person, people turn to the ignorant as their leaders; then they are asked to deliver religious verdicts and they deliver them without knowledge, they go astray, and lead others astray

Tafsiri

Hakika Mwenyezi Mungu haiondoi elimu kwa kuinyakua kwa watu, bali anaiondoa ilimu kwa kuwatoa wanavyuoni, ili asipomwacha msomi, watu wanawaendea wajinga kuwa viongozi wao; kisha wanaombwa watoe hukumu za dini na wanazitoa bila ya kuwa na elimu, wanapotea na wanawapoteza wengine.

NA ALLAH (THE ALMIGHTY) ANAJUA ZAIDI
Na ni bora umeandika Allah anajua zaidi umetokea hapo. Vinginevyo unahitaji kujifunza dini zaidi na zaidi kuna vitu vingi hujui, japo alhamdulillah kwa iliyonayo ili kabla kupinga jifunze zaidi.

Huyo Sule huwezi kumpangua kwa hoja na kwambia wewe hapa umeonyesha kumdharau lakini kahifadhi Quran nzima moyoni na kichwani pia kahifadhi biblia nzima kichwani iweje umbeze jana kwamba hana kitu? Acha kabisa hilo

Kuhusu majini Dkt Sule yuko sahihi Kama muislam ana elimu kuhusu nayo pasi na kumshirikisha Allah basi anaweza kufanya nayo kazi kwani Nabii Suleiman majini na binadamu ndio waliojenga hekalu alikua akiwasimamia na alikua na akiwapangia kazi mbalimbali kwa jinsi anavyotaka na Allah ametwambia Nabii hakukufuru.

Aya nitakuwekea inshaallah
 
Kwa wasioelewa niwafungue ufahamu. Majini Ni malaika walioasi Wakatupwa Duniani pamoja na Bosi wao Lucifer . Hiyo Ndio maana ya Majini.
Soma ufunuo wa Yohana 12 yote utanielewa
Sasa NI dhahiri kuwa Huwezi tenganisha Ile Dini na Majini Hilo liko dhahiri. Sasa unaweza elewa wanamuabudu Nani. Somebody says Akifa anaenda peponi kuoa wanaweka wenye macho kama vikombe😂😂😂 Hayo yanaitwa majini mahaba Muhammad alifunuliwa na shetani. Ndio maana wakaanzia practice Duniani kuoa wanawake wengi. Sasa wengi wanajitahidi kutimiza masharti ya Dini yao Ili wakajipatie mademu huko wenye macho kama vikombe.
Hivi nikuulize wewe kama Una akili nzuri! Huo mwili ulionao ukifa tu umeuvua Je hiyo Ngono Utafanya na nini huko?
Kwa nini mnakubali kufia Kwenye dhambi Kwa uongo wa shetani. Kumbuka Shetani aliichezesha Bibilia kidogo tu Ili aanzishe kundi lake jipya la kwenda nalo Jehanam
Bibilia Inasema Shetani Ndio baba wa uongo wote Unaona uongo wote unaoongelewa huku Duniani Shetani Ndie baba wa uongo huo. Sasa alichukua Bibilia akageuza Baadhi ya maneno ambayo Ndio msingi wa Muumini akaandika cha kwake akampa Muhammad. Mfano angalia alivyocheza na Kitabu cha Mwanzo Habari za Ibrahim Kisha angalia vita yake kubwa iko Kwenye injili Hataki kabisa injili ihubiriwe amepingana nayo kwa nguvu zote hadi Leo. Hataki kabisa
Ndio maana vita ya Yesu aliileta Rohoni maana Majini nayo NI roho yanaonyeshwa cha Moto na Mnazareti. Maana Mnazareti Ndie ameukalia ulimwengu wa Roho Alienda huko kuzimu akamuambia Shetani leta funguo hizo haraka sina muda kupoteza
Shetani akampa: Akamuambia Shika Mkuu
Yesu akaingia zake Mjini Akasema Nimepewa mamlaka Yote Mbinguni na Duniani, Akawaambia wanafunzi Sasa enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.
Ni kiu yangu tuende Mbinguni pamoja Asiwepo anayepotea. Na Yesu Ndie njia kweli na uzima. Wokovu NI sasa baada ya kufa NI hukumu tu Hakuna kuoana tena huo ni uongo wa shetani. Mpe Yesu Maisha
Yeye Ndie njia kweli na uzima
Asante.
Ona huyu mwingine anaropoka uongo.
Katika uislam majini ni viumbe walioumbwa kwa moto,malaika ni viumbe walioumbwa kwa nuru/nyota.
Hawafanani kamwe.
Mtume ufunuo aliletewa na malaika/kiumbe kilichoumbwa kwa nuru ama nyota.
Majini wapo wema na wapo wabaya.
Majini wabaya ndio hao mashetani au mapepo.
Usiokoteze uongo kutoka kanisani kwenu na kuleta hapa.
Matako yako.
 
Ukifutwa uislam,hao walio baki hawatumii majini? Jiulize aliechora dunia bila hata darubini au kuwa Nga za mbali aliwezaje?,
Tunachojua ni kwamba jini lilimchorea ramani na yye kafanya uhakiki kama ni kweli.
 
Naona wagalatia wanakuja mbio na matusi pasi na kujua Sule kazungumza nini.
Mleta mada ungeweka video watu wasikilize sio kuleta maneno baadhi yenye mkanganyiko.
Sule alichosema ni kuwa kuwatumia majini wenye mali kupata mali sio haramu.
Ila katika kuwatumia huko ni kwa kumuomba Mungu hao majini watii kwa kupitia neno la Mungu.
Kuna majini wanashikilia mali za dhahabu,almasi,ruby.
Unawafanyaje watii wakugaie mali?
Ni kupitia visomo vitakaowafanya wanyeyekee kwa jina la Mungu.
Na Sule alitanabaisha kuwa sio kwa kutumia makafara kutoka kwa waganga na ukapewa mapepo ya kafara laa hasha huo ushirikina.
Ila kwa kutumia kumuomba Mungu ili uwanyenyekeshe majini hilo ni sawa.
Kama Nabii Suleyman alikua akiwanyenyekesha majini kwa kumtaja Mungu maana Mungu ndio kaumba hao majini.
Narudia Sule hakukusudia kutumia mashetani ya kafara.
Kuna kitu katika uislam tunakiita Khadiim,maana yake mtumishi wa kiroho.
Hao watumishi wa kiroho wapo malaika na majini wasafi ambao huwezi kuwaona abadan mpaka ufanye utajo wa Mungu.
Na ukiwa mtu wa ibada sana katika masiku meupe hawa viumbe wanaweza kukutembelea pasi na wewe hata kuwaita ukashangaa wamekutembelea.
Niishie tu hapa ila kiufupi Dr Sule hajakusudia mashetani ya kafara.

Cha kuongezea,hao khudaam huwezi kuwafuga hawafugiki ng'oo.
Bali unawanyenyekesha na wakitimiza ulichoomba wanaondoka na mpaka warudi tena aisee ufanye kazi uache kazi.
Yani khadim ni sawa na nyota ya jaa.
 
Pole Sana.

Matayo 19:25-26


” 25 Wanafunzi wake waliposikia haya walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi anaweza kuokoka?” 26 Lakini Yesu akawatazama akawaambia, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.”
kwa hiyo sule kuokoka inawezekana. Basi na iwe hivyo atoke kwenye giza na udanganyifu
 
Nimekuelewa, ingawa sasa matendo ya viongozi na maneno yao ya kiimani wanayoyatenda huku mitaani, nadhani yamechagiza baadhi kuisema isivyofaa imani hiyo.

Utakuta mhusika ni Imam, Shekh au Usitadhat ila anahubiri habari za majini na ushirika wake na Waislam au anamiliki kiringe kihalali kwa ajili ya tiba zinazohusisha majini.

Nimeelewa wafanyayo hayo, wako kinyume na Uislam ingawa bado wanaitwa/wanajiita Waislam.
Hao ni Majahili(Wajinga/Wapumbavu) tu wa Uislamu.

Amesema Mtume Wa Allah" Umeanza Uislamu ukiwa mgeni na utaendelea/rejea kuwa mgeni basi hongera kwa wageni"

Hao wanachanganya mila zao za mizimu kama Yericko Nyerere na Uislamu.

Huyo Sule ni mfanyabiashara wa dini (Tijaru dini) kama walivyo akina Mwamposa tu. Anatajirika kwa jina la dini, amekuwa mchawi(mfuga majini) mwenye jina la kiislamu.
 
Ukifutwa uislam,hao walio baki hawatumii majini? Jiulize aliechora dunia bila hata darubini au kuwa Nga za mbali aliwezaje?,
Tunachojua ni kwamba jini lilimchorea ramani na yye kafanya uhakiki kama ni kweli.
Mafala hao,hawajui kitu
Wakatafute kitabu/biblia iitwayo"CODEX GIGAS".
Iliandikwa karne ya 17 na warumi ina agano jipya na kale na ina sehemu ya kuwatiisha majini wazuri na kuwafukuza mapepo wabaya na kuwafunga.
 
Quran 27:17 Na alikusanyiwa Suleiman majeshi yake ya majini, na watu na ndege nayo yakapangwa kwa nidhamu.

Msingi wa wakuyatumia majini uko hapo binadamu mwenye elimu juu ya anachokifanya bila kumshirikisha Mwenyezi Mungu majini ni kama mbwa unatuma anakufanyia kazi zako sema wasio kuwa na elimu ni waoga kwakua hawana elimu na kuzusha vitu someni mjue
 
Ni Dkt 😄😄

Sema nyie na wanazuoni wenu hua mnachekesha sana. Yani huyo Sulle ukimsikia tu anavyoongea na jinsi anavyoelezea mambo unajua tu kichwani hamna kitu. Yani alichonacho ni confidence lkn kichwani ni patupu aisee
Dkt ..ukiwa na maana ya Medical doctor au Phd?
 
Quran 27:17 Na alikusanyiwa Suleiman majeshi yake ya majini, na watu na ndege nayo yakapangwa kwa nidhamu.

Msingi wa wakuyatumia majini uko hapo binadamu mwenye elimu juu ya anachokifanya bila kumshirikisha Mwenyezi Mungu majini ni kama mbwa unatuma anakufanyia kazi zako sema wasio kuwa na elimu ni waoga kwakua hawana elimu na kuzusha vitu someni mjue
Na hao majini wa kuwatiisha hawafugiki mkuu.
Hao ukiwaita unaweza ukachukua hata miezi sita mpaka wanakuja.
Na wakija masharti yake huyawezi.
Na wakiondoka hawarudi tena labda uwe aswhaabul akhdaam.
 
Back
Top Bottom